CMGs Monitoring, Evaluation and Training

Taasisi ya YPM ikiongozwa na Meneja Miradi Mr. Peter Jally pamoja na wafanyakazi wengine wa YPM wametembelea Vikundi vya Kijamii vya Huduma Ndogo za Fedha (Community Microfinance Groups (CMGs). Vikundi vilivyotembelewa ni vya Mnazi pamoja na Mbaramo katika Wilaya Lushoto. Aidha, Meneja Miradi katika semina alioiendesha amewaeleza wanavikundi hao na kuwafafanulia juu ya sheria inayovitaka vikundi hivyo visajiliwe. Pamoja na hayo alisisitiza mshikamano na kufuata sheria,kanuni na taaratibu ambazo vikundi hivyo vimejiwekea ilikuhakikisha vinafikia malengo yao.

YPM led by Program Manager Mr. Peter Jally and other staff visited Community Microfinance Groups (CMGs) of Mnazi and Mbaramo in Lushoto District to see how the groups are doing but also to insists on the importance of registering their groups as the law requires. In addition, the Program Manager emphasized the groups to follow all the rules, regulations and procedures that the groups have set themselves to ensure that they achieve their goals.

YPM FORUM

Kutana na Youth Peace Makers Forum (YPMF) vijana kutoka Machame Health Institute ambao wanajishughulisha na harakati mbali mbali za kuhakikisha jamii inakuwa salama kimazingira na pia kwenye sekta ya usawa wa kijinsia.Forum hii inajihusisha sana na SDG no 10 Ambayo ni Climate Action pamoja na 17- Reduced inequalities chini ya mwamvuli wa Taasisi ya Youth Peace Tanzania.

Meet Youth Peace Makers Forum(YMPF), these are youth from Machame Health Institute that works hand in hand with Youth Peace Pakers Tanzania to make sure society gets all the help they need specially from the SDG goal no 17&10 that is Climate action and Reduced Inequality. YPM is very proud of this group and appreciate all the work they are doing to make sure the society is safe and gets all the knowledge they deseve.

IJA Peace Club

 IJA Peace Makers

There has been a very productive discussion with 18 youth from the Institute of Judicial Administration (IJA). The purposes were to discuss how the students would be able to collaborate with the YPM, choosing the leadership of the peace club where the Chairperson was elected to be Ms.  Mwanahamisi Sadick the secretary was appointed Mr. Rashid Mdee and the Disciplinary Officer was elected Mr. Josue Felician. Not only that, but the young people discussed how they will address various challenges such as pollution in Lushoto District as well as educate the community on recognizing the laws of Tanzania and becoming good citizens who know their rights and responsibilities. We are grateful that youth are self-aware and actively involved in activities that affect the future of their lives.

Kulikua na mazungumzo mazuri kati ya YPM na vijana 18 kutoka Chuo cha Uongozi  wa Mahakama (IJA). Madhumini yalikua kujadili jinsi wanafunzi  hao watakavyoweza kushirikiana na taasisi ya YPM,Kuchagua uongozi wa peace club ambapo Mwenyekiti alichaguliwa kua Bi. Mwanahamisi Sadick katibu akachaguliwa  Bwn.Rashid Mdee na Mtunza nidhamu alichaguliwa  Bwn. Josue Felician. Sio hivyo tu, bali vijana hao walijadili jinsi watakavyotatua changamoto mbalimbali kama uchafuzi wa mazingira katika Wilaya ya Lushoto pamoja na kuelimisha jamii juu ya kutambua sheria za Tanzania na kua raia wema wanaojua haki na wajibu wao. Tanashukuru kwamba vijana wanajitambua na kushiriki vyema katika shughuli zinazohusu muktakabali wa maisha yao.

Agribusiness

Leo YPM imetembelea wakulima wa viazi mviringo  wa Kwedeghe ambao ni wanavikundi vya kijamii vya  watoa huduma ndogo za kifedha. Dhumuni nikuwaunganisha wakulima hawa na soko ili waweze kuuza zao hili kwa urahisi ambapo YPM imemtafuta mfanya biashara ambaye yupo tayari kununua zao hilo kwa wakulima kwa bei nzuri.

Today YPM has visited the Kwedeghe potatoes growers who are members Community Microfinance Groups. The purpose is to connect these farmers with the market so that they can sell this crop easily. In addition to that, YPM has brought a trader who is willing to buy the potatoes from those farmers in good price.

Mdahalo

Leo taasisi ya YPM ilipata nafasi ya kushiriki katika mdahalo wa mawazo kati ya wanafunzi wa chuo cha mahakama cha IJA (Institute of Judicial Administration) na Chuo cha Ufundi Mabughai -Lushoto Mada ikiwa inasema “Je kuna usawa kati ya jinsia ya kike na jinsia ya kiume katika jamii inayokuzunguka” Upande wa kuunga mkono hoja walikuwa Chuo cha Maendeleo ya jamii na Ufundi na upande wa Kupinga hoja ikiwa ni Chuo Mungu ni mwema vijana wametupa ushirikiano mzuri sana wanachuo wa IJA pamoja na wa Mabughai! Thanks also to YPM crew kwa ushiriki na ushirikiano chanya! *#Youth Peacemakers Tanzania………..together we can!*

Online Meeting

Today Young people from Institute of Judicial Administration (IJA) and other young people around Lushoto town have participated on the online meeting that has been prepared by TIMU/YUNA Tanzania. The topic that was discussed is HEATHY NATIONS WITH YOUTH ON STEERING WHEEL (Realization of GBV Free Society and Reliable SHR for a Sustained Youth Healthy Status)