2023 March

SIGs Facilitators Training

Mafunzo kwa wawezeshaji wa vikundi vidogo vya kijamii vya huduma ndogo za fedha (SIGs) yamefanyika katika viwanja vya taasisi ya YPM Tanzania kuanzia tarehe 23 hadi 24 mwezi Machi 2023
Read More

Ujasiriamali wa kutengeneza sabuni

Mafunzo ya ujasiriamali kwa vitendo Mafunzo ya ujasiriamali wa kutengeneza sabuni ya maji kwa vitendo yamefanyika tarehe 10 mwezi Machi 2023 katika Shule ya Sekondari ya Prince Claus (SSPC), yakiendeshwa
Read More

Women Day 2023

Mh. Sekiboko: Wanawake tumieni teknolojia kujiendeleza Mh. Husna Sekiboko, Mbunge wa viti maalumu CCM mkoa wa Tanga, ambaye ni mgeni rasmi, ameambatana na mkuu wa Wilaya ya Lushoto Mh. Ekalisti
Read More