SIGs Monitoring and Evaluation

Ufuatiliaji wa Vikundi vya Kijamii vya Huduma Ndogo za Kifedha .

YPM imeendela kutembelea na kutatua changamoto mbambali ambazo Vikundi vya Kijamii vya Huduma Ndogo za Kifedha vinakumbaza nazo hasa katika swala zima la uwendeshaji wa vikundi hivi. awamu hii YPM imepata nafasi ya kutembelea vikundi vya Mbumbuli Msongolo na Funta.

Monitoring of Microfinance Social Groups.

YPM has continued to visit and solve the various challenges that Community Microfinance Groups are facing, especially in the whole issue of the operation of these groups. In this phase YPM has had the opportunity to visit the groups of Bumbuli Msongolo and Funta.

Young Facilitator Training

Mafunzo ya wawezeshaji Vijana

Tarehe 18 na 19 Desemba 2023 YPM iliendesha mafunzo ya wawezeshaji vijana wa Vikundi vya Kijamii vya Huduma Ndogo za Fedha kutoka maeneo ya Malibwi, Bumbuli, Ngulwi, Korogwe , Makanya na Magamba. Kama taasisi inayojihusisha na maendeleo ya vijana ilikuomboa jamii, YPM imeweka mkazo katika kuwawezesha vijana hawa ili waweze kuwawezesha wengine katika uwanzishaji na usimamizi wa vikundi hivi, ili sheria, kanuni na taratibu zilizoweka na Serikali ya Jamhuri ya Muugano wa Tanzania zifuate ilikuleta maendeleo endelevu katika jamii.

Young SIGs Facilitators training

On the 18th and 19th of December 2023 YPM conducted the training of young facilitators of the Community Microfinance Groups (CMGs) from the areas of Malibwi, Bumbuli, Ngulwi, Korogwe, Makanya and Magamba. As an organisation that is involved in the development of young people in the community, YPM has focused on empowering these young people so that they can empower others in the establishment and management of these groups, so that the laws, regulations and procedures set by the Government of the United Republic of Tanzania are followed to bring sustainable development in the community.