From May 19th to 29th, 2025, Youth Peacemakers Tanzania (YPM) was honored to be represented at a powerful regional workshop on Gamification and Design Thinking, hosted by AAYMCA in Nairobi.

This dynamic initiative brought together passionate youth leaders and innovators from across Africa to explore how games and creative thinking can build better, more inclusive societies. The workshop was more than learning—it was an experience in co-creation, collaboration, and community transformation.
YPM was proudly represented by Mr. Francis Kamote – Environment and Sports for Development Program Officer, Yasin Juma and Salha Daniel Youth Representative gh hands-on sessions and collaborative challenges, the team engaged with cutting-edge tools and strategies to design game-based solutions to social issues. We’re excited to bring these insights back home and continue driving positive change through play. 🕹️💡

YPM katika Warsha ya Gamification na Design Thinking – Nairobi, Kenya 🇰🇪
Kuanzia Mei 19 hadi 29, 2025, Youth Peacemakers Tanzania (YPM) ilishiriki katika warsha ya kikanda kuhusu Gamification na Design Thinking iliyofanyika Nairobi, Kenya na kuandaliwa na AAYMCA.
Warsha hii ilikusanya vijana kutoka nchi mbalimbali za Afrika ili kujifunza jinsi ya kutumia michezo na ubunifu kutatua changamoto za kijamii na kuleta mabadiliko katika jamii zao. Warsha hii haikuwa ya kujifunza tu, bali pia ya kushirikiana, kubuni na kujenga jamii bora kwa pamoja.

YPM iliwakilishwa na Bw. Francis Kamote – Afisa wa Programu ya Mazingira na Michezo kwa Maendeleo, pamoja na vijana Yasin Juma na Salha Daniel. Kupitia mafunzo ya vitendo na kazi za vikundi, walijifunza mbinu mpya za kutumia michezo kama njia ya kuleta suluhisho kwa matatizo ya jamii.
Tunarudi nyumbani tukiwa na ujuzi mpya na tumejipanga kutumia yale tuliyojifunza ili kuendelea kuleta mabadiliko chanya kwa jamii kupitia michezo na ubunifu. 🕹️💡
