Taasisi ya YPM ikiongozwa na Meneja Miradi Mr. Peter Jally pamoja na wafanyakazi wengine wa YPM wametembelea Vikundi vya Kijamii vya Huduma Ndogo za Fedha (Community Microfinance Groups (CMGs). Vikundi vilivyotembelewa ni vya Mnazi pamoja na Mbaramo katika Wilaya Lushoto. Aidha, Meneja Miradi katika semina alioiendesha amewaeleza wanavikundi hao na kuwafafanulia juu ya sheria inayovitaka vikundi hivyo visajiliwe. Pamoja na hayo alisisitiza mshikamano na kufuata sheria,kanuni na taaratibu ambazo vikundi hivyo vimejiwekea ilikuhakikisha vinafikia malengo yao.
YPM led by Program Manager Mr. Peter Jally and other staff visited Community Microfinance Groups (CMGs) of Mnazi and Mbaramo in Lushoto District to see how the groups are doing but also to insists on the importance of registering their groups as the law requires. In addition, the Program Manager emphasized the groups to follow all the rules, regulations and procedures that the groups have set themselves to ensure that they achieve their goals.