Environmental Management Act
Youth Peacemakers brought together young people from the Institute of Judicial Administration (IJA), YPM Youth Forum in Moshi who have come from Machame and KCMC health colleges, along with other participants from Iringa health University and Prince Claus Secondary School in Lushoto. These young people had the opportunity to jointly review the Environmental Management Act of 2024 and reconcile the following matters; –
i/ The law is strong in managing the environment
ii/ It has been seen that society still does not understand enough about this law
iii/ There is no effective management of this law in our areas. After analysing this, the young people agreed on two things to work on in the region of Tanga and Kilimanjaro where the first thing is to provide education on the rights and responsibilities of every citizen on environmental care but also to motivate and cooperate with the Government to ensure that this law it is implemented in our communities.
Sheria ya Usimamizi wa Mazingira
Youth Peacemakers iliwaleta kwa pamoja vijana kutoka Chuo cha Uongozi wa Mahakama (IJA), YPM Youth Forum ya Moshi ambao wametoka Vyuo vya afya vya Machame na KCMC,pamoja na washiriki wengine waliooka Chuo cha afya cha Iringa na shule ya Sekondari ya Prince Claus iliopo Lushoto. Vijana hawa walipata nafasi ya kupitia kwa pamoja Sheria ya Usimamizi wa Mazingira ya mwaka 2024 na kuanisha mambo yafuatayo; –
i/ Sheria ipo imara katika kusimamia mazingira
ii/ Imeonekana jamii bado hainauwelewa wakutosha juu ya sheria hii
iii/Hakuna usimamizi madhubuti wa sheria hii katiaka maeneo yetu.
Baada ya kuchambua haya vijana hao walikubaliana mambo mawili ya kufanyia kazi katika mkoa wa Tanga na Kilimanjaro ambapo jambo la kwanza ni kuotoa elimu juu ya haki na wajibu wa kila raia juu ya utunzaji wa mazingira lakini pia kuhamasiha na kushirikia na Serikali ili kuhakikisha kwamba sheria hii inatekelezwa na kufuatwa katika jamii zetu.