Global Disability Summit

Mkutano wa kimataifa wa walemavu.

Tarehe 14 Feb – 17Feb Norway na Ghana waliandaa mkutano wa kimataifa wakishirikina na Uingereza juu ya watu wenye ulemavu Duniani. Mkutano huu ulifanyika kwa njia ya mtandao ambapo watu mbalimbali waliwezakushiriki wakiwa majumbani kwao. Ilikua imetarajiwa kwamba watuwangeweza kukaa pamoja na kushiriki wakiwa wanaonana laikini kulingana na changamoto zilizosababishwa na ungojwa wa Korona basi ukapelekea mkutano huu kufanyika kwa njia ya mtandao. Hata hivyo hii haikupunguza maana ya Mkutano huo kwani yote yaliopangwa kujadiliwa yalijadiliwa hususa ikiwa ni kutengeneza mazingira mazuri katika nyanja mbalimbali ilikuwawezesha watu wenye mahitaji maalumu kutumia fursa izo. Mmoja wa washiriki alisikika akisema kua ” Watu wenye ulemavu wanaweza kusoma na kuelewa vizuri kama wanafunzi wengine endapo watawekewa mazingira mazuri ya  kujifunzia” na hili linaenda sambamba hata katika nyanja nyingine mfano kwenye ajira watu wenye ulemavu wanapaswa kupewa nafasi na kuwekewa mazingira mazuri ya kuwawezesha wao kufanya kazi bila kikwazo chochote.

Katika siku hizi zote za mkutano YPM iliweza kuandaa vijana wapatao kumi na moja  ambao kunawalioshiriki wakiwa ndani ya ofisi za YPM wakati wengine wakishiriki wakiwa majumbani mwao.

Global Disability Summit.

On 14 Feb – 17 Feb Norway and Ghana hosted an international conference in partnership with the United Kingdom on Persons with Disabilities in the World. The meeting was held online where various people were able to participate in their homes. It was hoped that the people would be able to sit down and participate and see each other but depending on the challenges posed by COVID-19 Pandemic then it led to the conference being held online. However, this did not diminish the meaning of the Conference as all that was planned such as creating a conducive environment in various fields which will enable people with special needs to interact, work or study without any obstacle. One of the participants was heard to say that “People with disabilities can learn and understand like other students if they are provided with a good learning environment” and this goes hand in hand even in other areas such as employment to help people with disability to work without any hindrance.

During all the days of the conference YPM was able to organize about 11 young people who participated in the YPM offices while others were participating from their homes.