Mdahalo

Leo taasisi ya YPM ilipata nafasi ya kushiriki katika mdahalo wa mawazo kati ya wanafunzi wa chuo cha mahakama cha IJA (Institute of Judicial Administration) na Chuo cha Ufundi Mabughai -Lushoto Mada ikiwa inasema “Je kuna usawa kati ya jinsia ya kike na jinsia ya kiume katika jamii inayokuzunguka” Upande wa kuunga mkono hoja walikuwa Chuo cha Maendeleo ya jamii na Ufundi na upande wa Kupinga hoja ikiwa ni Chuo Mungu ni mwema vijana wametupa ushirikiano mzuri sana wanachuo wa IJA pamoja na wa Mabughai! Thanks also to YPM crew kwa ushiriki na ushirikiano chanya! *#Youth Peacemakers Tanzania………..together we can!*