Malumbano ya Hoja
Malumbano ya mdahalo yenye lengo la kukuza matumizi ya lugha ya kiingereza kwa wanafunzi wa shule za sekondari za Shambalai na Ubiri ulifanyika katika viwanja vya shule ya sekondari ya shambalia ukiendeshwa na hoja isemayo “chochote anachofanya mwanaume mwanamke anauwezo wa kukifanya vizuri zaidi”
Malumbano hayo ya hoja yalihudhuliwa na taasisi ya youth Peacemakers Tanzania kama sehemu mojawapo ya taasisi kuibua na kusimamia shughuli za kitaaluma katika shule za serikali mkoani Tanga, na pia kuleta chachu ya usawa wa kijinsia kwa wanafunzi kwa lengo la kukuza kizazi chenye utambuzi wa umuhimu wa usawa wa kijinsia katika maendeleo ya jamii nanchi kwa ujumla.
Wanafunzi wa shule zote mbili walitumia fursa hiyo ya mdahalo kuonyesha vipaji mbalimbali kama kucheza, urembo wa asili, ubunifu wa mavazi ambavyo vyote vinamauandaa kijana wa kitanzania kuwa na fani tofauti ambayo itamsaidia katika Maisha. Sanaa ni nyenzo nzuri ya kuwasaidia vijana kuelewa umuhimu wa taaluma pamoja na fani nyingine za sanaa katika kujitengenezea maarifa na kuinua uchumu wa jamii.
Youth Peacemakers Tanzania imekua ikiratibu shughuli za Sanaa, michezo na midahalo katika jamii kama sehemu ya kuwavutia wanafunzi kupenda kusoma na pia kuwa wabunifu katika Sanaa mbalimbali.
………………………
Peace Club Debate
A debate on the intention of promoting the use of English language for Shambalai and Ubiri Secondary School students took place at the Shambalai Secondary School grounds run by the argument that “whatever the man can do a woman can do it better”
The discussion was witnessed by the Youth Peacemakers Tanzania as part of one of the organization plan to develop and manage professional activities in public schools in Tanga, as well as bring leaven to gender equality to students with the aim of promoting a generation with gender equality for community development in general.
Students of both schools took advantage of the debate showing a variety of talents such as dancing, natural beauty, fashion show that aim to prepare a youth to have different professions that would help them in life. Art is a great tool to help young people understand the importance of profession and other arts in developing knowledge and promoting socialism.
Youth Peacemakers Tanzania has been coordinating arts, sports and debates in the community as part of attracting students to learn and also be creative in various arts.
Malumbano ya Hoja
Malumbano ya mdahalo yenye lengo la kukuza matumizi ya lugha ya kiingereza kwa wanafunzi wa shule za sekondari za Shambalai na Ubiri ulifanyika katika viwanja vya shule ya sekondari ya shambalia ukiendeshwa na hoja isemayo “chochote anachofanya mwanaume mwanamke anauwezo wa kukifanya vizuri zaidi”
Malumbano hayo ya hoja yalihudhuliwa na taasisi ya youth Peacemakers Tanzania kama sehemu mojawapo ya taasisi kuibua na kusimamia shughuli za kitaaluma katika shule za serikali mkoani Tanga, na pia kuleta chachu ya usawa wa kijinsia kwa wanafunzi kwa lengo la kukuza kizazi chenye utambuzi wa umuhimu wa usawa wa kijinsia katika maendeleo ya jamii nanchi kwa ujumla.
Wanafunzi wa shule zote mbili walitumia fursa hiyo ya mdahalo kuonyesha vipaji mbalimbali kama kucheza, urembo wa asili, ubunifu wa mavazi ambavyo vyote vinamauandaa kijana wa kitanzania kuwa na fani tofauti ambayo itamsaidia katika Maisha. Sanaa ni nyenzo nzuri ya kuwasaidia vijana kuelewa umuhimu wa taaluma pamoja na fani nyingine za sanaa katika kujitengenezea maarifa na kuinua uchumu wa jamii.
Youth Peacemakers Tanzania imekua ikiratibu shughuli za Sanaa, michezo na midahalo katika jamii kama sehemu ya kuwavutia wanafunzi kupenda kusoma na pia kuwa wabunifu katika Sanaa mbalimbali.
………………………
Peace Club Debate
A debate on the intention of promoting the use of English language for Shambalai and Ubiri Secondary School students took place at the Shambalai Secondary School grounds run by the argument that “whatever the man can do a woman can do it better”
The discussion was witnessed by the Youth Peacemakers Tanzania as part of one of the organization plan to develop and manage professional activities in public schools in Tanga, as well as bring leaven to gender equality to students with the aim of promoting a generation with gender equality for community development in general.
Students of both schools took advantage of the debate showing a variety of talents such as dancing, natural beauty, fashion show that aim to prepare a youth to have different professions that would help them in life. Art is a great tool to help young people understand the importance of profession and other arts in developing knowledge and promoting socialism.
Youth Peacemakers Tanzania has been coordinating arts, sports and debates in the community as part of attracting students to learn and also be creative in various arts.