Open hours: 8.30-17.00 Mon-Fri
Call Us +255 (0) 272660017 info@youthpeacemakers.or.tz
Youth Peace Makers
  • Home
  • About Us
  • Blog
  • Our Team
  • Job Vacancy
  • CONTACT
  • Home
  • -
  • General
  • -
  • SIGs Facilitators Training

SIGs Facilitators Training

  • By: Peace Maker
  • March 27, 2023
  • Comments off
  • General

Mafunzo kwa wawezeshaji wa vikundi vidogo vya kijamii vya huduma ndogo za fedha (SIGs) yamefanyika katika viwanja vya taasisi ya YPM Tanzania kuanzia tarehe 23 hadi 24 mwezi Machi 2023 kwa lengo la kuwakumbusha wawezeshaji mbinu mbalimbali za kuendesha vikundi hivyo.

Meneja wa Taasisi ya YPM Tanzania akiendesha mjadala wa mafunzo ya SIGs kwa wawezeshaji

Akiendesha mjadala uliohusiana na kutambua changamoto na mafanikio yaliyofikiwa na SIGs Rev. Walalaze, Mkurugenzi wa Taasisi ya YPM Tanzania, amewasihi wawezeshaji hao kutembelea vikundi mbalimbali na kufuatilia changamoto wanazopitia na kuwasaidia wanavikundi kutatua changamoto hizo, pia amewasihi wawezeshji kufuatilia mienendo ya vikundi vyote wanavyovisimamia.

Mwezeshaji wa mkutano huo ambaye pia ni Meneja wa YPM Tanzania Bw. Peter Jally amesema kuwa, wawezeshaji wanayonafasi kubwa katika kuhakikisha maendeleo ya vikundi na wanavikundi yanakua ya mafanikio, pia amewasihi wawezeshaji kuhakikisha vikundi havivunji mzunguko bali wanaendeleza mzunguko wa uwekaji wa hisa ili kuweza kumnufaisha mwanakikundi kupata asilimia kubwa ya mkopo na gawio pindi kikundi kinapo funga mzunguko wa mwaka.

Aidha Afisa michezo na utetezi wa mazingira Bw. Francis Kamote amewasihi wawezeshaji kujua namna sahihi ya kuikabili migogoro inayokumba vikundi kwa kutumia busara ili kuepusha uwezekano wa uvunjaji vikundi kwani migogoro midogomidogo ndiyo inayopelekea vikundi vingi kuvunjika.

Bw. Yona James mmoja wa wawezeshaji  anawasishi watu wajiunge na vikundi hivi kwani vinasaidia sana hasa pale mtu anapohitaji mkopo wa haraka, “uwepo wa vikundi hivi vinasaidia sana hasa pale unapopata shida ambayo inahitaji utatuzi wa fedha wa haraka, unakua na uwezo wa kupata mkopo kutoka katika kikundi ulichopo na kwa riba nafuu”.

Wawezeshaji wakiwa katika makundi wakati wa majadiliano juu ya changamoto na faida za SIGs

Akitoa ushauri kwa wakina mama Pamoja na vijana Bi. Melina Mhema, muwezeshaji na mwanakikundi wa vikundi vya Shume na Ufunuo amesema “nawashauri akina mama na vijana kujiunga na vikundi hivi kwani inasaidia kupata mtaji na kujikwamua kiuchumi, mfano mimi nimeweza kujikwamua kutoka katika umasikini kutokana na kujiunga na vikundi na kwa sasa ni mjasiriamali namiliki biashara ya chakula, na nafuga kuku.

Training for YPM SIGs Facilitators

Training for the facilitators of Saving and Investment Groups (SIGs) was held on the grounds of the YPM from the 23rd to the 24th of March 2023 with the aim of reminding the facilitators on the various methods of running those groups.

Rev. Walalaze, the Director of the YPM Tanzania conducted a discussion related to recognizing the challenges and achievements achieved by the SIGs. He urged the facilitators to visit various groups and monitor the challenges they are experiencing and help the group members solve those challenges. He also urged the facilitators to monitor the movements of all the groups they manage.

The facilitator of the meeting, who is also the Manager of YPM Tanzania Mr. Peter Jally, said that the facilitators have a great opportunity to ensure that the development of groups and group members is successful. He also urged the facilitators to ensure that the groups do not take out dividend by the closing of each year, but instead continue stock placement over several years to be able to get a larger percentage of loans and dividends.

In addition, The Sports and Environmental Protection Officer Mr. Francis Kamote urged the facilitators to know conflict resolution and tactics to avoid groups breaking up because of small conflicts, which has been the source of closure of many groups.

Mr. Yona James, one of the facilitators, said that he urges people to join these groups because they are very helpful especially when someone needs a quick loan. “The presence of these groups is very helpful especially when you have a problem that requires a quick financial solution, you are able to get a loan from in the group you are in and at a low interest rate”.

Giving advice to mothers and young people, Mrs. Melina Mhema, a facilitator and group member of the Shume and Ufunuo groups has said “I advise mothers and young people to join these groups because it helps to get capital and fight poverty. For example I have been able to alleviate my personal financial challenges by joining groups and now I am an entrepreneur and I own a business of food, and I raise chickens too, so it’s better”.

prev post next post

Related Posts

NOREC

August 14, 2023

International Youth Day

August 12, 2023

Second Quarter Newsletter

July 4, 2023

Recent Posts

  • NOREC
  • International Youth Day
  • Second Quarter Newsletter
  • Call for Proposal: Youth Peacemakers Tanzania Strategic Plan from 2024 – 2028
  • World Environmental Day

Archives

  • August 2023
  • July 2023
  • June 2023
  • May 2023
  • April 2023
  • March 2023
  • February 2023
  • January 2023
  • December 2022
  • October 2022
  • September 2022
  • August 2022
  • July 2022
  • June 2022
  • May 2022
  • April 2022
  • March 2022
  • February 2022
  • December 2021
  • November 2021
  • October 2021
  • September 2021
  • August 2021
  • July 2021
  • June 2021
  • May 2021
  • April 2021
  • March 2021
  • February 2021
  • January 2021
  • December 2020
  • November 2020
  • September 2019
  • August 2019
  • March 2019
  • February 2019
  • January 2019
  • October 2018
  • September 2018
  • August 2018
  • June 2018
  • May 2018
  • March 2018
  • February 2018
  • December 2017
  • November 2017
  • July 2017
  • June 2017
  • May 2017
  • July 2016
  • June 2016

Categories

  • Advocacy & Environment
  • Economic Justice
  • General
  • Sports & Games

OUR ORGANIZATION

  • Home
  • About Us
  • Blog
  • Our Team
  • Job Vacancy
  • CONTACT

FRIENDS & SPONSORS

Yglobal
Lushoto District Council,Tanga Region
Valdres FHS
Sandefjord Sykleklubb
Sunnmore Folkehoyskole
Haugeland KFUM KFUM
Oslo KFUM-EKEBERG
Sunnfjord FHS

CONTACT INFORMATION

Youth Peace Makers Tanzania
P.O Box 395,Lushoto,Tanga
Email: info@youthpeacemakers.or.tz
Phone: +255 27 666 0017

NEWSLETTER

Subscribe now and receive quarterly newsletter with interesting posts, success stories and much more!

Staff Mail
Copyright © 2023 Youth Peace Makers. All Rights Reserved.