Mkurugenzi wa Tasisi ya Youth Peacemakers Tanzania (YPM) Mch.Godfrey Walalaze ameendesha semina ya ujasiliamali Makorora Mjini Tanga kwalengo lakuwezesha Washarika wa kanisa la Makorora kuona kutumia fursa mbalimbali zinazinazopatikana katika maeneo yao. Katika seminar hiyo ambayo pia ilihudhuriwa na Mtendaji katika mradi wa Bomba la mafuta kutoka Uganda aliweza kueleza fursa mbali mbali zinazotokana na kutekelezwa kwa mradi huo jijini Tanga.

The Director of Youth Peacemakers Tanzania (YPM) Rev. Godfrey Walalaze has conducted an entrepreneurship seminar at Makorora in Tanga with the aim of empowering Makorora church members to see how to use the various opportunities available in their areas. In the seminar, which was also attended by the Executive in the oil Pipeline project from Uganda, he was able to explain the various opportunities arising from the implementation of the project in Tanga.