Bonanza la kuvutia lililoshirikisha jumla ya timu sita – mbili za U13 na nne za U20 – limefanyika katika viwanja vya Duga Maforoni.
Bonanza hili ni sehemu ya mradi wa pamoja kati ya CHRISC TANZANIA na YPM, likilenga kuwaandaa wataalamu wa michezo, hasa mpira wa miguu. Tayari hatua mbalimbali zimefanyika, ikiwemo:
✅ Kozi za makocha
✅ Mikutano ya wadau katika wilaya za Lushoto na Mkinga
Hadi sasa, makocha takribani 50 wameshiriki katika mafunzo haya, na matokeo yake yameanza kuonekana! Timu za vijana zimeanza kuundwa chini ya uongozi wa makocha hawa waliobobea.
Michezo ni msingi wa maendeleo ya vijana na jamii. Endelea kufuatilia kwa mengi zaidi kuhusu mradi huu.
#VijanaNaMichezo #CHRISC #YPM #U13 #U20 #SportsForDevelopment #MichezoKwaMaendeleo
U13 and U20 Youth Bonanza at Duga Maforoni
An exciting bonanza featuring six teams – two U13 and four U20 – took place at Duga Maforoni grounds.
This event is part of a joint project between CHRISC TANZANIA and YPM, aimed at developing sports experts, particularly in football. Key milestones achieved so far include:
✅ Coaching courses
✅ Stakeholder meetings in Lushoto and Mkinga districts
To date, approximately 50 coaches have participated in these trainings, and the results are already visible! Youth teams are now being formed under the leadership of these skilled coaches.
Sports are a cornerstone for youth and community development. Stay tuned for more updates on this impactful project.
#YouthInSports #CHRISC #YPM #U13 #U20 #SportsForDevelopment #YouthEmpowerment