Mwenyekiti wa Asasi ya Kiraia ya Lushoto(LUSCO) Mch. Godfrey Tahona Walalaze akizungumza kwenye Mkutano wa Mwaka uliofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto. Mkutano huo uliohudhuriwa na mgeni rasmi Mhe. Kalist Lazaro Mkuu wa Wilaya ya Lushoto, Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Lushoto Mhe. Ikupa Mwaisyoge, mwakilishi wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Bumbuli wageni waalikwa na wajumbe.

The Chairperson of Lushoto Civil Society Organisation(LUSCO) Rev. Godfrey Tahona Walalaze speaking to the Annual meeting held in Lushoto District Council venue. The meeting was attended by the guest of honor was Hon. Kalist Lazaro the Lushoto District Commissioner , Lushoto Distric Executive Director Hon. Ikupa Mwaisyoge,representative of Bumbuli Council Director amongst other invited guests and members.
