Kuanzia tarehe 08 ya mwezi wa 06 hadi tarehe 10 ya mwezi Juni YPM imetembelea Vikundi Vya Kijamii Vya Huduma Ndogo za Fedha Halimashauri ya Bumbuli katika kijiji cha Muwao, Kabuku Wilayani Handeni, Tanga mjini pamoja na Duga Maforoni na Moa. Lengo kuu la ziara hiyo nikutatua changamoto mbalimbali zinazokubwa vikundi pamoja na kuwaelimisha na kuwahamasisha wanavikundi kusajili vikundi vyao. Zaidi ya yote Elimu ya Ujasiliamari ilitolewa kwa wanavikundi hao ili wana vikundi hao waweze kuchangamkia fursa mabalimbali za kiuchumi wanazokutana nazo.
From the 08th of the month of 06 to 10th of June YPM has visited the Community Small Financial Services Groups Bumbuli Council in Muwao village, Kabuku in Handeni District, Tanga town as well as Duga Maforoni and Moa. The main purpose of the visit is to address the various challenges facing groups as well as to educate and motivate group members to register their groups. Most of all, Entrepreneurship Education was provided to these group members to empower them to grab all economic opportunities with and outside their residence areas.