Youth Change Summit
Youth Change Summit 2023, is centred around the theme “Climate Change: Adapting to Climate Change and Enhancing Resilience.” Which will be held in Kuringe Hall Moshi from November 16-17,2023.
Agenda:
The Youth Change Summit will encompass a series of keynote speeches, panel discussions, workshops, and interactive activities designed to empower youth in the following key areas:
- Embracing Climate Innovation: Pioneering Solutions for a Sustainable Future.
- Breaking Barriers, Building Resilience: Advancing Gender Equality in Climate Action.
- Cultivating -a sustainable Workforce: Uniting for green jobs and -a greener Future
04.Elevating Voices, Driving Change: Empowering climate advocacy for a sustainable Tomorrow.
Youth Change Summit 2023, umejikita kwenye mada “Mabadiliko ya Tabia ya nchi: Kukabiliana mabadiliko ya tabia ya nchi na kuimarisha Ustahimilivu.” Ambao utafanyika katika ukumbi wa Kuringe Moshi kuanzia Novemba 16-17,2023.
Ajenda:
Mkutano wa Youth change summit utajumuisha mfululizo wa hotuba kuu, mijadala ya jopo, warsha, na shughuli shirikishi zilizoundwa ili kuwawezesha vijana katika maeneo muhimu yafuatayo:
01. Kukumbatia ubunifu wa kushulikia changamoto ya mabadiliko ya tabia ya nchi: Suluhu za uanzilishi kwa mustakabali endelevu.
02. Kuvunja Vikwazo, Kujenga Ustahimilivu: Kuendeleza Usawa wa Kijinsia katika kuchukua hatua juu ya mabadiliko ya tabia ya nchi.
03. Kukuza nguvukazi endelevu: Kuungana kwa ajili ya kazi za kijani.
04.Kupaza sauti, kuendesha mabadiliko: Kuwezesha utetezi wa hali ya hewa kwa kesho endelevu.