Open hours: 8.30-17.00 Mon-Fri
Call Us +255 (0) 272660017 info@youthpeacemakers.or.tz
Youth Peace Makers
  • Home
  • About Us
  • Blog
  • Our Team
  • Job Vacancy
  • CONTACT
  • Home
  • -
  • General
  • -
  • YPM YATWAJWA KUA MKOMBOZI WA WATU WA KWAMASIMBA

YPM YATWAJWA KUA MKOMBOZI WA WATU WA KWAMASIMBA

  • By: Peace Maker
  • March 10, 2021
  • Comments off
  • General

Katiaka harakati za taasisi ya YPM kuhakikisha kua inawatumikia na kushirikiana na wananchi pamoja na Serikali katika kupambana na umasikini, YPM imeendelea kuvishauri vikundi vya VICOBA katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Tanga. Tarehe 09 na 10 ya mwezi huu YPM imeendesha semina katika kijiji cha Kwamasimba kilichopo wilaya ya korogwe mkoani Tanga ambapo vikundi sita vya VICOBA vilituma wawakilishi ili kuhudhuria semina hiyo. Malengo ya semina hiyo ya siku mbili yalikua nikuwezesha vikundi hivyo kua na VICOBA endelevu. Maana ya VICOBA endelevu ni vikundi ambayo vinaendesha shughuli zao na inapofikia mwisho wa mwaka vikundi hivyo VINAFUNGA MZUNGUKO kwa kugawana faida iliopatikana na sio kugawana Hisa amabazo ndio mtaji wa vikundi. Wanavikundi hao waliishukuru sana taasisi ya YPM kwa ajili ya elimu iliyowapatia na kuahidi kwamba watakua na vikundi endelevu. Sambamba na hilo, Maafisa wa YPM walielimisha jamii juu ya kupiga vikali ndoa za utotoni lakini pia kuiomba jamii kuhakisha kua hakuna binti ambae anapata mimba akiwa katika umri wa chini ya miaka 18 . Maafisa hao walieleza kua imekua ni changamoto kubwa kwa watoto wa kike wanapokua wanalazimishwa kuolewa mapema kitu ambacho kinapoteza ndoto zao na haki yao ya kupata elimu.Wananchi wa Kwamasimba walikiri kwamba mambo hayo yanatokea katika jamii yao na zaidi ya hayo waliendelea kushukuru nakusema kua taasisi ya YPM imekua mkombozi wao kwani mara zote imekua ikiitetea jamii na kuonyesha njia itakayo wasaidia kutatua changamoto zao.

YPM HAD BEEN MENTIONED TO BE THE SAVIOUR OF KWAMASIMBA’S PEOPLE

In the wake of YPM’s efforts to ensure that it serves the people well and cooperate with the government in the fight against poverty, YPM has continued to advise VICOBA groups in various parts of Tanga region. On the 09th and 10th of this month YPM conducted a seminar at Kwamasimba Korogwe in Tanga region where six VICOBA groups sent representatives to attend the seminar. The purpose of the two-days seminar was to enable the groups to have sustainable VICOBA. The meaning of Sustainable VICOBA is the groups that run their operations and by the end of the year these groups perform financial calculations by sharing the profits earned and not the Shares that are the capital of the groups. The group members were very grateful to YPM for the education they provided and promised that they would grow up with sustainable groups. At the same time, YPM officials educated the community on the seriousness of child marriage but also called on the community to ensure that no girl gets pregnant under the age of 18. The officials explained that it has become a major challenge for girls as they grow up being forced to marry early something that loses their dreams and their right to education. The participants uttered that YPM has become their savior as it has always been defending the community and showing the way that will help them solve their challenges.

prev post next post

Related Posts

Kwamasimba Stop Poverty Cup ‘Football League”

April 18, 2021

Environmental Protection by Planting Trees

April 16, 2021

Vikundi vya YPM Vyaanza kutumia CHOMOKA

April 15, 2021

Recent Posts

  • Kwamasimba Stop Poverty Cup ‘Football League”
  • Environmental Protection by Planting Trees
  • Vikundi vya YPM Vyaanza kutumia CHOMOKA
  • Notice of death of YPM board member
  • The Stop Poverty League at Kwamasimba in Korogwe District

Archives

  • April 2021
  • March 2021
  • February 2021
  • January 2021
  • December 2020
  • November 2020
  • September 2019
  • August 2019
  • March 2019
  • February 2019
  • January 2019
  • October 2018
  • September 2018
  • August 2018
  • June 2018
  • May 2018
  • March 2018
  • February 2018
  • December 2017
  • November 2017
  • July 2017
  • June 2017
  • May 2017
  • July 2016
  • June 2016

Categories

  • Advocacy & Environment
  • Economic Justice
  • General
  • Sports & Games

OUR ORGANIZATION

  • Home
  • About Us
  • Blog
  • Our Team
  • Job Vacancy
  • CONTACT

FRIENDS & SPONSORS

Yglobal
Lushoto District Council,Tanga Region
Valdres FHS
Sandefjord Sykleklubb
Sunnmore Folkehoyskole
Haugeland KFUM KFUM
Oslo KFUM-EKEBERG
Sunnfjord FHS

CONTACT INFORMATION

Youth Peace Makers Tanzania
P.O Box 395,Lushoto,Tanga
Email: info@youthpeacemakers.or.tz
Phone: +255 27 666 0017

NEWSLETTER

Subscribe now and receive quarterly newsletter with interesting posts, success stories and much more!

Staff Mail
Copyright © 2021 Youth Peace Makers. All Rights Reserved.