Youth peace makers wakipata nafasi ya kishiriki siku ya mbio za mwenge ambapo mwenge ulipita wilayani Lushoto ili kukagua na kuzindua miradi mbali mbali ya kitaifa. Maadhimisho haya yaliongozwa na kiongozi wa Mbio za mwenge LT.Josephine P. Mwambashi, (Pichani no 3)ambapo pia alipata nafasi ya kupitia banda la YPM na kujifunza kuhusu shughuli zote zinazofanywa na taasisi yetu…
Youth Peace Makers got a chance to participate in the activities of National Torch where by the organization got a chance to talk about it’s activities with the leader of the event Lt.Josephine P. Mwambashi (Picture No 3).