Youth Change Summit (YCS)2023

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Khamis Hamza Khamis amewakumbusha vijana wenye uelewa kuhusu mazingira kutoa elimu hiyo kwa wananchi wa vijijini wasio na uelewa juu ya athari za uharibifu wa mazingira  ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi.

Amesema hayo katika ufunguzi wa Kongamano la vijana la Youth Change Summit linalojadili mada mbalimbali za mabadiliko ya tabia nchi lililo fanyika  kwa siku mbili wilayani Moshi Mkoa wa Kilimanjaro, ambapo amesema ni wakati wa vijana wasomi kuipeleka elimu hiyo maeneo ambayo hayafikiki kirahisi ili kujenga uelewa juu ya athari na madhara yatokanayo na uharibifu wa mazingira.

Participants of YCS 2023

Katika hotuba yake pia Mh.Khamis amesema Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais inatekeleza miradi mbalimbali ikiwemo kuwezesha upatikanaji wa majiko banifu ambayo yanasaidia kupunguza au kuondosha kabisa vitendo vya ukataji miti kwa ajili ya kuni na mkaa sambamba na kuhamasisha matumizi ya mkaa mbadala.

Katika hatua nyingine amebainisha Serikali inaendelea na utaratibu wa kupunguza Kodi Katika nishati mbadala ili wananchi waweze kustahimili kwa kila kaya.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa taasisi ya Youth PeaceMakeres Tanzania Mch. Godfrey Tahona Walalaze amesema wamelenga kufanya Kongamano hili la Mazingira kwa kulenga Mabadiliko ya tabia Nchi kwakuwa linaathiri maisha ya binadamu kwa ujumla  na wakiamini vijana wanauwezo mzuri wa kubuni njia bora za kukabiliana na chanzo na athari ya Mabadiliko ya Tabia Nchi kwa maisha ya Sasa na baadae.

Youth Change Summit (YCS) 2023

Kongamano la vijana la Youth Change Summit linalofanyika Moshi Mkoani Kilimanjaro linalohusu Mabadiliko ya Tabia

Nchi,Kongamano hili limefunguliwa hii na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis

Washiriki wa YCS 2023

Youth Change Summit

Youth Change Summit

Youth Change Summit 2023, is centred around the theme “Climate Change: Adapting to Climate Change and Enhancing Resilience.” Which will be held in Kuringe Hall Moshi from November 16-17,2023.

Agenda:

The Youth Change Summit will encompass a series of keynote speeches, panel discussions, workshops, and interactive activities designed to empower youth in the following key areas:

  • Embracing Climate Innovation: Pioneering Solutions for a Sustainable Future.
  • Breaking Barriers, Building Resilience: Advancing Gender Equality in Climate Action.
  • Cultivating -a sustainable Workforce: Uniting for green jobs and -a greener Future

04.Elevating Voices, Driving Change: Empowering climate advocacy for a sustainable Tomorrow.

 Youth Change Summit 2023, umejikita kwenye mada “Mabadiliko ya Tabia ya nchi: Kukabiliana mabadiliko ya tabia ya nchi na kuimarisha Ustahimilivu.” Ambao utafanyika katika ukumbi wa Kuringe Moshi kuanzia Novemba 16-17,2023.

Ajenda:

Mkutano wa Youth change summit utajumuisha mfululizo wa hotuba kuu, mijadala ya jopo, warsha, na shughuli shirikishi zilizoundwa ili kuwawezesha vijana katika maeneo muhimu yafuatayo:

01. Kukumbatia ubunifu wa kushulikia changamoto ya mabadiliko ya tabia ya nchi: Suluhu za uanzilishi kwa mustakabali endelevu.

02. Kuvunja Vikwazo, Kujenga Ustahimilivu: Kuendeleza Usawa wa Kijinsia katika kuchukua hatua juu ya mabadiliko ya tabia ya nchi.

03. Kukuza nguvukazi endelevu: Kuungana kwa ajili ya kazi za kijani.

04.Kupaza sauti, kuendesha mabadiliko: Kuwezesha utetezi wa hali ya hewa kwa kesho endelevu.

Youth Initiative

”Wema kidogo wa leo huifanya kesho kuwa bora”

 Haya ni maneno yaliokuwa yakipamba katika vipeperushi vya mtandaoni vilivyo andaliwa na wanachama wa peace club wa shule ya Secondari Mlongwema. Hii ni kutoka na jitihada walizo anzisha vijana hawa katika kuendeleza kampeni ya kutokomeza umaskini, mimba na ndoa za utotoni katika maeneo ya Mlola na Ngwelo wilayani Lushoto.

Vijana hawa walikuwa wanachama wa peace club ilioyokua inayosimamiwa na YPM, ambapo YPM Ilitoa mafunzo mbali mbali ya utunzaji wa mazingira, usawa wa kijinsia, kuhamasisha elimu bora pamoja na afya bora haya yote ya kiwa ni malengo endelevu ya dunia, lengo no.13,5,4 na 3. YPM inayofurha kubwa kuona vijana hawa ambao kwa sasa wapo vyuo vikuu nchini, kwamba wametambua nafasi walioyonayo nakurudi kuwasaidia wadogo zao wenye uhutaji wa vifaa vya shule na usafi binafsi ambapo vijana hawa walitoa mashati ya shule, sabuni za miche na unga, madaftrari katoni mbili, taulo za kike, kalamu na vifaa vingine vya shule kwa wanafunzi.

YPM pamoja na washirika wake kutoka Valdres Norway waliweza kuunga mkono jitihada hizo kwa ushiriki wa pamoja katika shule ya Sekondari Mlongwema. YPM imepongeza na kuhamasisha vijana wetu wa peace club kutumia elimu wanayopata ilikusaidia na kuikomboa jamii kutoka kwenye dimbwi la umasikini.

”A little kindness today makes tomorrow better”

These are the words that were used in the online flyers prepared by the peace club members of Mlongwema Secondary School. This is from the efforts initiated by these young people in continuing the campaign to eradicate poverty, early marriage and early pregnancy in the areas of Mlola and Ngwelo in Lushoto district. These young people were members of the peace club which is being facilitated by YPM, where YPM provided various trainings on Climate Action, Gender Equality, Quality Education and Good Health and Well-Being amongst other, for which are sustainable development goals (SDG), goal no. 13,5, 4 and 3.

 YPM is very happy to see these young people who are currently in universities in the country, that they have realized the opportunity they have and come back to help their younger ones who are in need of school supplies and personal hygiene where these young people donated school shirts, bar and powder soaps, notebooks in two cartons, sanitary towels, pens and other school supplies for students.

YPM together with its partners from Valdres Norway were able to support those efforts with joint participation at Mlongwema Secondary School. YPM also has congratulated them and encourages young people from peace club to use the education they get to help and free the community from the braking the chains of poverty.

NOREC

We have had the chance to say goodbye to our colleagues who we were together for a period of one-year as NOREC participants 2022/2023 (Norwegian Exchange Cooperation). We acknowledge the work contribution from Norwegian participant M/S Cecilia Grevstad and from Ethiopia Dr. Yordanos Alem Hagos. Today marks the end of their stay here at YPM, we thank them very much for their presence, we have managed to learn a lot from they, and they have become a great help to the organisation. YPM is very proud of them.

Tumepata nafasi ya kuwaaga watumishi wenzetu tuliokua nao katika program NOREC (Norwegian Exchange Cooperation) ya mwaka moja kutoka nchi ya Norway M/S Cecilia Grevstad and kutoka Ethiopia Dkt Yordanos Alem Hagos. Leo ikiwa siku ya mwisho kwao kuwepo pamoja nasi tunawashukuru sana kwa ajili ya uwepo wao tumefanikiwa kujifunza mengi wamekua msaada mkubwa sana tunawatakia safari njema kila mmoja anaporudi nchini kwake na tunafurahi kuongeza wanafamilia YPM.

International Youth Day

International Youth Day

 is a wonderful opportunity to engage and empower young people, fostering their involvement in creating a more sustainable future through education, advocacy, and meaningful initiatives? It is a chance to inspire them to take action, contribute to positive change, and address pressing global challenges like climate change, social justice, and economic inequality. By providing platforms, resources, and support, we can help shape a generation that actively participates in building a better world.

On this day of 12 August YPM gathered young people to celebrate International youth day. Various topics were discussed and the event was closed by rewarding individuals who represent others on the effort to fight against poverty and injustice.

Siku ya Kimataifa ya Vijana Duniani

Inatupa fursa ya kuwashirikisha na kuwawezesha vijana, kukuza ushiriki wao katika kuunda zaidi mustakabali endelevu kupitia elimu, utetezi, na mipango ya kibunifu. Ni nafasi ya kuwatia moyo kuchukua hatua, kuchangia mabadiliko chanya, na kushughulikia changamoto kubwa za kimataifa kama vile mabadiliko ya hali ya hewa, haki za kijamii, na ukosefu wa usawa wa kiuchumi. Kwa kutoa majukwaa, rasilimali, na kuunga mkono, tunaweza kusaidia kuunda kizazi ambacho kinashiriki kikamilifu katika kujenga ulimwengu bora. Siku hii ya tarehe 12 Agosti YPM ilikusanya vijana kusherehekea siku ya ndani ya vijana. Mada mbalimbali zilijadiliwa na hafla hiyo ilifungwa na kuwazawadia watu wengine katika juhudi za kupambana na umaskini na dhuluma.

Call for Proposal: Youth Peacemakers Tanzania Strategic Plan from 2024 – 2028

Youth Peacemakers Tanzania

Call for Proposal: Youth Peacemakers Tanzania Strategic Plan from 2024 – 2028

Youth Peacemakers Tanzania is seeking proposals from experienced Strategic Planners to provide their expertise and services to our organization. We are looking for a strategic partner who can contribute to the long-term growth and success of our organization through effective strategic planning.

About Youth Peacemakers Tanzania:

Youth Peacemakers (YPM) is a nonprofit organization limited by guarantee with registration number 110507 of August 12th, 2014. The organization operates in Tanga region, districts of Lushoto, Korogwe, Handeni, Tanga, and Mkinga. YPM has been awarded as the best NGO in 2022 within the whole of Lushoto District as per its impact, professional standards, and codes of conduct it applied.

The vision of YPM is to be the lead organization that values peace and justice for all. It intends to make all youths to be peacemakers in their day-to-day lives. It foresees communities where justice is upheld and equality prevails for the harmony and development of the world’s citizens. Our Motto is Stop Poverty. Poverty has been a great hurdle for the vast majority of the country. Through the programs that are run by YPM, it is envisaged to contribute to empowering and mobilizing Youths to take part in determining their future through critical engagement in community development and thus stopping poverty.

Objective:

The objective of this proposal is to identify a qualified Strategic Planner who can collaborate with our organization to develop and implement a comprehensive strategic plan. The plan should align with our organizational goals and provide a roadmap for achieving success in a dynamic and competitive environment.

Scope of Work:

The selected Strategic Planner will be responsible for the following:

1. Conducting a thorough analysis of our organization, including an assessment of our strengths, weaknesses, opportunities, and threats (SWOT analysis).

2. Facilitating workshops and meetings with key stakeholders to gather input and insights on the strategic direction of the organization.

3. Performing an assessment of the organization’s strategic direction and institutional framework, analyze stakeholders, and evaluate the organizational structure and governance mechanisms.

4. Developing a comprehensive strategic plan that outlines clear goals, objectives, and strategies to guide our organization’s growth and success.

5. Identifying key performance indicators (KPIs) and metrics to measure the progress and effectiveness of the strategic plan.

6. Providing guidance and recommendations on resource allocation and prioritization to ensure the successful implementation of the strategic plan.

7. Assisting in the development of communication materials to effectively communicate the strategic plan to internal and external stakeholders.

Proposal Submission:

Interested individuals or firms are requested to submit their proposals electronically to director@peacemakers.or.tz no later than 15th July 2023. Please include “Strategic Planning Application” in the subject line of the email. The proposal should include the following:

1. Cover letter briefly introducing the proposer and their relevant experience.

2. Executive summary outlining the proposed approach to strategic planning for our organization.

3. Detailed methodology and timeline for conducting the strategic planning process.

4. Proposed budget, including any fees and expenses associated with the project.

5. Relevant experience and qualifications of the proposer, including references from previous clients, if available.

6. Resume and any additional information or supporting documents that demonstrate the proposer’s capability to fulfill the scope of work.

Selection Process:

The selection of the Strategic Planner will be based on the evaluation of the proposals received. The evaluation criteria may include, but are not limited to, the following factors:

– Demonstrated experience and expertise in strategic planning for similar organizations.

– Comprehensive understanding of our industry and competitive landscape.

– Sound methodology and approach to strategic planning.

– Clarity and feasibility of the proposed timeline and budget.

– Strong communication and presentation skills.

– Demonstrated ability to work collaboratively with diverse stakeholders.

  • We reserve the right to request additional information or clarification from proposers, if necessary. Shortlisted proposers may also be invited for an interview or presentation to further evaluate their proposals.

Confidentiality:

All information provided in the proposal will be treated as confidential and used solely for the purpose of evaluating the proposals.

Contact Information:

For any inquiries or clarification regarding this call for proposal, please contact us through director@youthpeacemakers.or.tz

We look forward to receiving your proposals and partnering with a skilled Strategic Planner who can help shape the future success of our organization.

Sincerely,

World Environmental Day

World Environment Day.

Every year on June 5, the world celebrates World Environment Day with a different slogan every year. The theme of the year 2023 was “Take care of the environment, save water sources for the well-being of living beings and the national economy”. YPM coordinated the celebration of this day on June 9 and was attended by an official guest who is the Chief Conservator of Magamba Natural Forest, Mr. Christoganus John Vyokuta.

This day is important for the country, Government and non-Government organizations, development stakeholders and everyone individually to be able to analyse and evaluate the state of our environment. The truth is that there has been a great destruction in our environment which has led to change in periods of rain, drought and increase in temperature.

In addition, the quality of the air we breathe has decreased as factories continue to pollute the environment by emitting smoke, but also the cutting of trees has caused hurricanes and dust to spread in the air along with many things that have an impact on the environment and our health.

This celebration included the planting of fruit trees in Lushoto Primary School and YPM Offices where the official guest, YPM Director, Representative of Lushoto District Commissioner, Representative of Lushoto Executive Director, YPM Programs Manager, Lushoto Ward Executive, College of Mabughai Community Development, Institute of Judicial Administration Lushoto, together with students from Secondary and Primary schools here in Lushoto participated in the activity.

Speaking to the people who gathered that day, Mr. Vyokuta encouraged the youth to take care of the environment because it is our life, and the Director of YPM explained how the YPM organization has a great responsibility to mobilize the community on environmental care as well as eradicating poverty and bringing equality in society.

These celebrations were decorated and coloured with various lessons for young people on environmental care and self-aware health education as well as various games for teaching and fun.

In ensuring that the environment is properly maintained, the Conservationist Mr. Vyokuta conducted an exercise to distribute more than three hundred (300) trees to all the people who attended. The trees were provided through the office of the Chief Conservator of Magamba Forest.

The management of YPM would like to give sincere thanks to all those who attended and ask them to make good use of the knowledge they got as well as to manage the trees given and planted for the care of our environment.

Siku ya Mazingira Duniani.

Kila mwaka tarehe 5 Juni dunia husheherekea siku ya mazingira Duniani ikiambatana na kauli mbiu tofautitofauti kwa kila mwaka. Kaulimbiu ya mwaka 2023 ilikua “Tunza mazingira ,okoa vyanzo vya Maji kwa Ustawi wa Viumbe Hai na Uchumi wa Taifa”. YPM iliratibu maadhimisho ya siku hii tarehe 9 juni na kuhudhuriwa na mgeni rasmi ambae ni Mhifadhi mkuu wa Msitu wa asili Magamba Bw.Christoganus John Vyokuta.

Siku hii ni muhimu kwa nchi,mashirika ya Serikali na yasiyo ya Serikali , wadau wa maendeeleo pamoja na kila mtu mmoja mmoja kuweza kuchambua na kutathmini juu ya hali ya mazingira yetu. Ukweli nikwamba kumekua na uharibufu mkubwa katika mazingira yetu hali iliyopelekea kubadirika kwa vipindi vya mvua, ukame na ongezeko la joto.

Aidha ubora wa hewa tunayovuta umepungua kwani viwanda vinaendelea kuchafua mazingira kwa kutoa moshi, lakini pia ukataji wa miti umesababisha vimbunga  na vumbi kutanda angani pamoja na mambo mengi ambayo yanaleta athari katika mazingira na afya zetu.

Maadhimisho haya yalijumuisha tukio la upandaji wa miti ya matunda katika shule ya Msingi Lushoto na Ofisi za YPM ambapo Mgeni rasmi, Mkurungenzi wa YPM, Mwakilishi wa Mkuu wa wilaya Lushoto, Mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji Lushoto, Meneja Miradi wa YPM, Mtendaji kata Lushoto, Chuo cha  Maendeleo ya Jamii Mabughai, Chuo cha Uongozi wa Mhakama Lushoto, pamoja na wanafunzi kutoka shule za Sekondari na Msingi hapa Lushoto walishiriki zoezi hilo.

Akizungumza na watu waliokusanyika siku hiyo Mhifadhi Bw. Vyokuta aliwaasa vijana kutunza mazingira maana ndio uhai wetu, naye Mkurugenzi wa YPM alielezea namna ambavyo shirika la YPM lina jukumu kubwa la kuhamasisha jamii juu ya utunzaji wa mazingira pamoja na kutokomeza umaskini na kuleta usawa katika jamii.

Maazimisho haya yalipambwa na masomo mbalimbali kwa vijana juu ya utunzaji wa mazingira na elimu ya afya ya kujitambua pamoja na michezo mbali mbali kwajili ya kufundisha na kufurahisha.

Katika kuhakikisha mazingira yanatunzwa ipasavyo, Mhifadhi Bw. Vyokuta aliendesha zoezi la ugawaji wa miti zaidi ya mia tatu (300) kwa watu wote waliohudhuria. Miti hiyo ilitolewa kupitia ofisi ya Mhifadhi mkuu wa Msitu wa Magamba.

Uongozi wa YPM unapenda kutoa shukrani za dhati kwa wote waliohudhuria na kuwaasa watumie vyema elimu walioipata pamoja na kusimamia miti iliyotolewa na iliyopandwa kwa utunzaji wa mazingira yetu. 

Social Audit

YPM kushirikiana na Taasisi ya Madeni na Maendeleo Tanzania TCDD(Tanzania Debt and Development) imeendesha mafunzo juu ya ukaguzi wa Kijamii kwa wananchi wa Kata ya Ngulwi. Baada ya mafunzo hayo wanachi wameunda kamati ambayo itahusika katika ufuatiliaji wa Mradi wa maji katika Kata hiyo unao simamiwa na RUWASA.

YPM in collaboration with the Tanzania Debt and Development (TCDD) has conducted training on Social Audit for the citizens of Ngulwi Ward. After the training, the citizens have formed a committee that will be involved in the Auditing of the Water Project in the Ward. The project is being implemented by Tanzania government through RUWASA.

Kamati ya Ukaguzi jamii kwenye picha ya pamoja na wafanya kazi wa YPM pamoja na mheshimiwa Diwani wa Kata ya ngulwi alievaa miwani Mh. Edwin Shunda.