Mkutano wa (1)Kwanza wa Taasisi ya Vijana Waleta Amani Tanzania unaendelea hivi sasa katika ukumbi wa Utondolo Cathedral hapa Wilayani Lushoto.

Katika picha ni wajumbe wa mkutano huu
Mkutano wa (1)Kwanza wa Taasisi ya Vijana Waleta Amani Tanzania unaendelea hivi sasa katika ukumbi wa Utondolo Cathedral hapa Wilayani Lushoto.

Katika picha ni wajumbe wa mkutano huu
Imeelezwa kua tatizo la afya ya akili ni moja ya sababu ambayo imekuwa ikipelekea jamii kuwa na uwezo mdogo wa kubuni na kukabiliana na changamoto za kimaisha na hatimaye kushindwa kuyafikia maendeleo yaliyokusudiwa.
Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri wa Afya Dokta Godwin Mollel katika kongamano la Afya ya akili lilowakutanisha vijana mkoani Kilimanjaro.
Dokta Mollel amesema katika kukabiliana na changamoto za afya ya akili serikali imeendelea kuboresha miundombinu ya afya ikiwa ni pamoja na huduma ya mama na mtoto huku akiitaka jamii kujikita katika matumizi sahihi ya lisha bora hususani kwa watoto waliochini ya umria wa miaka mitano ili kuwa na kizazi chenye ubunifu katika nyanja mbalimbali zikiwemo za kiuchumi.
Akizungumza na na watu waliohudhuria Mkurugenzi wa Taasisi ya vijana waleta Amani Tanzania (Youth Peace Makers Tanzania) Mch.Godfrey Walalaze amesema kongamano hilo limelenga kufikisha elimu kwenye jamii juu ya masuala yanayohusu afya ya akili.

baadhi ya vijana ambao wameshiriki katika kongamano hilo wamesema kupitia elimu waliyoipata wanaenda kuwa mabalozi wazuri kwa kutoa elimu kwenye jamii hasa kwa vijana wenzao.

It has been pointed out that the mental health problem is one of the factors that has led the community to be less able to design and cope with life’s challenges and ultimately fail to achieve the intended development.

This was stated by the Deputy Minister of Health Dr. Godwin Mollel at Youth Change Summit with a theme ‘The Rapid Emergence of Mental Problems in the Community’’ that was hosted by Youth Peacemakers Tanzania through its Youth Peacemakers Forum in Kilimanjaro Tanzania.

Dr. Molell said in response to the mental health challenges the government has continued to improve health facilities including maternal and child care while urging the community to focus on proper nutrition management especially for children under the age of five to have a generation with children who grow up with innovative ideas in various fields including science and technology.
Speaking to the audience, Rev. Godfrey Walalaze, Director of the Youth Peacemakers Tanzania, said the summit was aimed at educating the community on issues related to mental health.
Some of the young people who have participated in the summit said that through the education they have acquired they are going to be good ambassadors by providing education in the community especially to their fellow young people.
visit http://www.norec.no
Siku ya Kwanza ya Mkutano wa Afya ya Akili unaoendelea hapa Moshi mjini ukiwa na mada kuu : Kuongezeka kwa matatizo ya Afya ya Akili katika jamii..Mgeni rasmi . Dkt. Godwin Mollel Naibu waziri Wizara ya Afya

Fist day of Youth Change Summit that is going on here in Moshi Tanzania with the main theme: The Rapid Emergency of Mental Problem in the Community.Guest of honor: Depute Health Minister Dr. Godwin Mollel
kindly visit our partners at http://www.norec.no


SIGs training, Monitoring and Evaluation at Mkinga District in Tanga region.Below are photos during the events where by we got a chance to visit sisal farm that is owned by Lengo let SIG



We had a great time with school students on discussing SDGs, From subject to citizen(S2C) and and discussing how we can stop Early marriage and Pregnancies at Mkinga district.




Kila tarehe 5Juni tunaadhimisha Siku ya Mazingira Duniani. Pengine, nitakuwa mbinafsi ikiwa sitasema chochote katika siku hii maalum ya kulinda dunia yetu. Lakini cha muhimu zaidi hapa ni kwamba, sisi kama raia wa dunia tunahitaji kubadili mitazamo, tabia mbaya na kuendeleza tabia chanya katika kulinda na kuhifadhi mazingira yetu kwa Maendeleo Endelevu. TAFADHALI FANYA KITU LEO. Vijana wa Peace Makers Tanzania katika siku hii walisherehekea pamoja na wapenda amani kutoka shule ya sekondari ya Shamabalai ambapo siku hiyo ilianza kwa mafunzo kuhusu SDGs yenye kuzingatia kuchukua hatua juu ya mabadiliko ya hali ya hewa na Usawa wa Kijinsia kwa kuzingatia kwamba, hatua juu ya hali ya hewa inahitaji kila mtu bila kujali jinsia yake au asili yake ya kihistoria. Mafunzo hayo yalifuatiwa na upandaji miti na kisha kukamilika kwa mechi ya mpira wa wavu.

Ninapendekeza utoe maoni yako hapa kile utakachofanya kwa mazingira yako ikiwa ni kweli unataka kubadilisha ulimwengu kama mwanaharakati wa mazingira.

On every 5th of June we celebrate the World Environmental Day. Probably, I would be selfish if I will not say anything in this very special day of protecting our mother earth. But what is more important here is that, we as the global citizens we need to change our bad attitudes, behaviours and develop positive behaviours in protecting and preserving our environment for Sustainable Development. PLEASE DO SOMETHING TODAY.

Youth Peace Makers Tanzania in this day celebrated with peacemakers from Shamabalai secondary school where the day started with a training on SDGs focusing on Climate Action and gender equality to the respect that Climate Action needs everyone regardless of their gender or historic background. The training was followed by trees planting and then finalised by volleyball match.

I kindly argue you comment here what you are going to do for your surroundings if it is real you want to change the world as an environmental activist.
Today was a great day where we were able to talk about S2C,SDGs raise awareness to stop Early marriage and Pregnancies with Kitala secondary peace club here at Lushoto Tanga.

We are looking forward for more interesting and engaging sessions.

Leo Tumepata nafasi ya kuzungunmza na vijana wetu wa klabu ya amani ya shule ya sekondari Kitala hapa wilayani Lishoto. Tumekua na mazungumzo mazuri juu ya malengo endelevu ya dunia, elimu ya kujitambua na kukuza uwelewa juu ya kutokomeza ndoa na mimba za utotoni.
Tulipata nafasi nzuri ya kukutana na vijana wetu wa klabu ya amani ya YPM katika shule ya sekondari Ubiri. Ilikua ni furaha kuona vijana wanaendelea vyema na shughuli zao za kitaaluma pamoja na kupambana kwaaili ya kudumisha haki na amani katika shule na jamii zao. Kati ya mambo muhimu yaliozungumzwa ni juu ya malengo endelevu ya dunia (SDGs) na kuona ni jinsi gani vijana hao wanaweza kuyafanyia kazi katika shule yao na jamii inayowazunguka.

Sambamba na hilo, wataalamu kutoka YPM walikuza uelewa wa vijana kuhusu ndoa na mimba za utotoni, na kuwaelimisha vijana hao jinsi ya kupinga na kutokomeza ndoa na mimba za utotoni. Vijana hao waliaswa kwamba, wananafasi kubwa ya kuwasaidia waliokaribu nao na kuelimisha jamii kutokomeza vitendo hivyo ili kumpa nafasi mtoto wa kike kupata elimu.

Nimatumaini yetu kwamba, wadau mbalimbali watatuunga mkono katika jitihada hizi ili kuwawezesha vijana wetu kupata haki zao za msingi.

We had a great opportunity to meet YPM peace club members at Ubiri secondary School. It was a joy to see young people continue smoothly with their academic activities as well as to fight to maintain justice and peace in their school and communities.

Amongst the key issues discussed were the Sustainable Development Goals (SDGs) and seeing how these young people can work to contribute on its implementation in their school and the community around them.

In parallel, experts from YPM raised young people’s awareness of early marriage and pregnancy, and educated them on how to oppose and eliminate early marriage and pregnancy. The young people were persuaded that they had a great opportunity to help those around them and to educate the community to eradicate such practices in order to give the girl a chance to get an education.

It is our hope that various stakeholders will support us in these efforts to enable our youth to access their basic rights.
visit http://www.norec.no
Leo tumekua na semina nzuri ya ujasiliamali iliongozwa na Program Manager Peter Jally.

Today we had an interesting training of business Entrepreneurship led by Program manager Peter Jally.
Semina ya Maendeleo Endelevu ya dunia.

YPM imeendesha semina iliyofanyika katika viwanja vya ofisi ya YPM hapa Lushoto. Semina hiyo ililenga kusaidia vijana kuongeza uelewa juu ya Maendeleo Endelevu ya Dunia. Vijana Arobaini (40) kutoka klub za amani za shule za sekondari za Shambalai na Ubiri walishiriki mafunzo hayo. Mafunzo haya yamelenga kuwajengea vijana uelewa zaidi juu ya Malengo endelevu ya dunia hususani zaidi ni lengo namba 13 ambalo linahusu maswala mazima ya utunzaji wa mazingira somo ambalo lilitolewa na kijana wa kujitolea ndugu.Tahona Godfrey. Somo la pili lilitolewa na Dkt Glory Kimario ambapo alifafanua juu ya lengo namba 5 usawa wa kijinsia na kusisitiza ni kwa jinsi gani vijana wa kike na wa kiume wanaweza kushiriki pamoja katika kuleta maendeleo. AKizungumza na vijana hao Meneja Miradi wa YPM Bwana Peter Jally aliwaasa vijana hao kushiriki kikamilifu katika kutekeleza malengo hayo ya dunia. Aidha, Mkurugenzi wa Taasisi ya YPM Mch. Godfrey Walalaze alipata wasaa wa Kuzungumza na vijana na kuwaeleza juu ya umuhimu wakunyambua kila lengo vizuri na kujua malengo madogomadogo yalioko kwenye kila lengo ili kurahisisha utekelezaji katika vikundi vyao vya amani mashuleni lakini pia hata katika jamii zao.
YPM inapenda kupongeza shule zote zilizoshiriki, walimu na washiriki wote kwa ujumla katika jitihada hizi endelevu za kujenga uelewa na kurahisisha utekelezaji wa Malengo Endelevu ili kuhakikisha hakuna anae achwa nyuma.
Sustainable Development Goals Seminar.
YPM conducted a seminar held at the YPM office grounds here in Lushoto. The seminar aimed at helping young people raise awareness about Sustainable Development Goals (SDGs). Forty (40) young people from Shambalai and Ubiri peace schools’ clubs participated in the training. This training aims to build young people’s understanding of the Sustainable Development Goals and in particular is goal number 13 which deals with the whole issue of environmental protection a session facilitated by a young volunteer Tahona Godfrey. The second session was delivered by Dr. Glory Kimario where she elaborated on goal number 5 gender equality and emphasized on how young women and men can participate together in bringing about development. Speaking to the youth, YPM Program Manager Mr. Peter Jally urged the youth to actively participate in the pursuit of these global goals. In addition, YPM Institute Director Rev. Godfrey Walalaze had the opportunity to talk to young people and explain to them the importance of tackling each goal well and knowing the sub-goals in each goal to facilitate implementation in their peace groups in schools but also in their communities.

YPM would like to appreciate and thanks all schools, teachers and all participants in this ongoing efforts to build awareness and facilitate the implementation of the Sustainable Development Goals to ensure that no one is left behind.