Vikundi vya YPM Vyaanza kutumia CHOMOKA

Shirika la YPM lilikua linaendesha semina mbalimbali katika mkoa wa Tanga kwa Vikundi Vya Kijamii Vya Watoa Huduma Ndogo Za Fedha kuhusiana na mfumo wa utunzaji kumbukumbu kwa njia ya mtandao ujilikanao kwa jina la CHOMOKA. Mfumo huu ni mfumo mzuri ambao unawawezesha wanakikundi kutunza kumbukumbu zao kupitia simu janja. Tunashukuru vikundi vya Kwedeghe vimeupokea vizuri mfumo huu ambapo vikundi kumi vilinunua simu janja na kuanza kuingiza taarifa zao.Tunapenda kuwaomba wana vikundi wengine kujiunga na mfumo huu ambao utafanya mapinduzi makubwa katika huduma yao na kuwezesha kuondoa changamoto za kimahesabu ambazo zinakumba vikundi hivyo.

YPM has been conducting various seminars in the Tanga region for Community Microfinance Groups related to the online record keeping system called CHOMOKA. This system is a great system that enables group members to keep their records via smart phones. We are grateful that the Kwedeghe groups have received this initiative well where ten groups bought smart phones and started to enter their information. The organization argues all other groups to use this system which will help them to avoid financial challenges that they are encountering.

Notice of death of YPM board member

Youth Peace Makers Tanzania (YPM) is deeply saddened by the loss of its beloved brother David L. Mkami. Mr Mkami was a longtime member of the YPM board. YPM recognizes the great contribution of Mr Mkami in advising to ensure that the organization works well to achieve its goals. YPM extends its condolences to the family of the deceased brother, the leaders and members of the YPM board, YPM staff as well as relatives and friends. The Lord has given and the Lord has taken let his name be glorified.

Rest in peace brother David L. Mkami.

Shirika la Youth Peace Makers Tanzania (YPM) limepata simanzi na majonzi kubwa ya kuondokewa na mpedwa wake ndugu David L. Mkami. Ndugu Mkami alikua mjumbe wa bodi ya YPM kwa muda mrefu. YPM inautambua mchango mkubwa wa ndugu Mkami katika kushauri ili kuhakikisha shirika linafanya kazi vizuri ili kufikia malengo yake. YPM inatoa pole kwa familia ya ndugu mkami, viongozi na wajumbe wa bodi ya YPM, wafanya kazi wa YPM pamoja na ndugu, jamaa na marafiki. Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina la Bwana na lihimidiwe.

Pumzika kwa amani ndugu David L. Mkami.

The Stop Poverty League at Kwamasimba in Korogwe District

YPM imeanzisha ligi ya mpira wa miguu katika kijiji cha Kwamasimba wilayani Korogwe. Ligi hiyo inaendeshwa kwa jina la ‘Stop Poverty Cup’. Ligi hii imeanzishwa kwa lego la kuinua vipaji vya vijana wa kwamasimba lakini pia kuelimisha jamii juu ya utunzaji wa mazingira,kuzuia ndoa za utotoni, kuelimisha jamii kufuatilia kwa kina juu ya maendeleo yao kupitia serikali, lakini pia na fursa za mikopo ambazo wanaweza kupata katika halimashauri zao.

YPM has established a football league at Kwamasimba village in Korogwe district. The league, known as the ‘Stop Poverty Cup’, has been set up to raise the talents of youth at Kwamasimba but also to educate the community about caring for the environment, preventing child marriage, earl pregnancies, educating the community to make follow-up for their development funds, and credit opportunities that they can get in their councils.

Agribusiness Training at Korogwe and Handeni in Tanga Region

Youth Peace Makers Tanzania imefanya semina za maharage katika maeneo ya tambarare ya wilaya Korogwe na Handeni amabapo vikundi vya VICOBA vya maendeo ya Mgombezi,Kilole, Kwamasimba, Kwamkono, Handeni pamoja na Mailikumi walinufaika na seminar hiyo ambayo ilikua inaendeshwa na wataalamu kutoka TARI Selian. Wanufaika hawa walipewa mbegu bora za maharage  na wanatarajiwa kuanzisha shamba darasa kila eneo ambapo watazalisha mbegu  za kutosha ili waweze kutapanda katika mashamba yao na kufanya kilimo biaashara kwaajili ya maendeleo binafsi na kikundi kwaujula.

Youth Peace Makers Tanzania has conducted bean seminars in the lowlands of Korogwe and Handeni districts where VICOBA groups of Mgombezi, Kilole, Kwamasimba, Kwankono, Handeni and Mailikumi groups benefited from the seminar which was run by experts from TARI Selian. These beneficiaries were given the best bean seeds and are expected to establish a demonstration farm in each area where they will produce enough seeds so that they can plant in their fields and make commercial farming for personal and group development in general.

YPM YATWAJWA KUA MKOMBOZI WA WATU WA KWAMASIMBA

Katiaka harakati za taasisi ya YPM kuhakikisha kua inawatumikia na kushirikiana na wananchi pamoja na Serikali katika kupambana na umasikini, YPM imeendelea kuvishauri vikundi vya VICOBA katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Tanga. Tarehe 09 na 10 ya mwezi huu YPM imeendesha semina katika kijiji cha Kwamasimba kilichopo wilaya ya korogwe mkoani Tanga ambapo vikundi sita vya VICOBA vilituma wawakilishi ili kuhudhuria semina hiyo. Malengo ya semina hiyo ya siku mbili yalikua nikuwezesha vikundi hivyo kua na VICOBA endelevu. Maana ya VICOBA endelevu ni vikundi ambayo vinaendesha shughuli zao na inapofikia mwisho wa mwaka vikundi hivyo VINAFUNGA MZUNGUKO kwa kugawana faida iliopatikana na sio kugawana Hisa amabazo ndio mtaji wa vikundi. Wanavikundi hao waliishukuru sana taasisi ya YPM kwa ajili ya elimu iliyowapatia na kuahidi kwamba watakua na vikundi endelevu. Sambamba na hilo, Maafisa wa YPM walielimisha jamii juu ya kupiga vikali ndoa za utotoni lakini pia kuiomba jamii kuhakisha kua hakuna binti ambae anapata mimba akiwa katika umri wa chini ya miaka 18 . Maafisa hao walieleza kua imekua ni changamoto kubwa kwa watoto wa kike wanapokua wanalazimishwa kuolewa mapema kitu ambacho kinapoteza ndoto zao na haki yao ya kupata elimu.Wananchi wa Kwamasimba walikiri kwamba mambo hayo yanatokea katika jamii yao na zaidi ya hayo waliendelea kushukuru nakusema kua taasisi ya YPM imekua mkombozi wao kwani mara zote imekua ikiitetea jamii na kuonyesha njia itakayo wasaidia kutatua changamoto zao.

YPM HAD BEEN MENTIONED TO BE THE SAVIOUR OF KWAMASIMBA’S PEOPLE

In the wake of YPM’s efforts to ensure that it serves the people well and cooperate with the government in the fight against poverty, YPM has continued to advise VICOBA groups in various parts of Tanga region. On the 09th and 10th of this month YPM conducted a seminar at Kwamasimba Korogwe in Tanga region where six VICOBA groups sent representatives to attend the seminar. The purpose of the two-days seminar was to enable the groups to have sustainable VICOBA. The meaning of Sustainable VICOBA is the groups that run their operations and by the end of the year these groups perform financial calculations by sharing the profits earned and not the Shares that are the capital of the groups. The group members were very grateful to YPM for the education they provided and promised that they would grow up with sustainable groups. At the same time, YPM officials educated the community on the seriousness of child marriage but also called on the community to ensure that no girl gets pregnant under the age of 18. The officials explained that it has become a major challenge for girls as they grow up being forced to marry early something that loses their dreams and their right to education. The participants uttered that YPM has become their savior as it has always been defending the community and showing the way that will help them solve their challenges.

The Celebration of International Women’s Day

Tarehe 8 ya mwezi wa Tatu kila mwaka dunia husherehekea maadhimisho ya siku ya wanawake duniani. Kauli mbiu ya mwaka huu ni “Wanawake katika uongozi ni chachu ya kufikia dunia yenye usawa”. Maadhimisho ya siku hii yamewekwa mahususi ili kuweza kutathimini mipango, mikakati na sera mbalimbali ambazo zimewekwa kwaajili ya kuhakikisha haki za wanawake zinapatikana. Lakini pia kuweza kuutambua mchango wa wanawake katika kuleta maendeleo. Wanawake wamekua wakikubwa na changamoto mbalimbali hasa katika kufikia usawa wa kijinsia. Moja ya changamoto nchini Tanzania ni rushwa ya ngono wanayoiombwa wanawake wakati wakiomba kupatiwa mikopo. Katika wilaya ya Lushoto maadhimisho ya siku ya wanawake dunia yamefanyika Mtae ambapo mgeni rasimi alikua Mkurugenzi wa Halimashauri ya wilaya Lushoto mama Ikupa Mwaisiyoge.Moja ya changamoto zilizoelezwa na wanawake wa wa kijiji cha Kwasindo Mtae ni umbali wa huduma ya uzazi. Wanawake hao wamesema wanasafiri umbali wa kilometa 9 kufuata huduma ya uzazi hali inayopekekea wengi wao kujifungua wakiwa njiani.Mbali na hilo wanawake hao wamesema ni wajasiliamali na wanafanya shughuli za biashara iliwaweze kujiingizia kipato. Katika maadhimisho hayo ambayo Pia YPM ilihudhulia ilieleza jinsi inavyoutambua mchango mkubwa wa wanawake katika kuleta maendeleo. Pia wanawake wamekua mstari wa mbele katika vikundi ya PM VICOBA amabavyo vinasimamiwa na taasisi ya YPM hivyo kupitia vikundi hivyo wanawake wamekua chachu ya maendeleo katiaka familia zao na jamii kwa ujumla. Msemaji kutoka YPM Bi Lydia Mshemu alieleza kua YPM inapinga vikali unyanyasaji wa kijinsia,ndoa na mimba za utotoni kwa kuanzisha kampeni ambazo zinawaelimisha wazazi, jamii na mtoto wa kike juu ya mambo hayo yanayorudisha nyuma maendeleo. Pia aliawaasa wanawake na jamii kutokunyamaza wanapoona vitendo vyenyenia ya kuwanyanyasa na kuwanyima wanawake haki zao kwa ujumla.

On the 8th of March every year the world celebrates International Women’s Day. This year’s motto is “Women in leadership is the key to achieving a more equitable world”. The commemoration of this day has been set aside to assess the various programs, strategies and policies that have been put in place to ensure women’s rights are met. But also to be able to recognize the contribution of women in bringing about development. Women have grown up with many challenges, especially in achieving gender equality. One of the challenges in Tanzania is the sexual bribery demanded from women when they apply for loans. In Lushoto district, World Women’s Day celebrations have been held in Mtae where the official guest was the Director of Lushoto District Council, Mama Ikupa Mwaisiyoge. One of the challenge that has been addressed by Mtae Kwesindo women was traveling 9 kilometers to follow maternity care, a condition that many of them give birth on the way. However, the women also said they are entrepreneurs and are doing business so that they can earn an income to rise their families living standard but also to be able to send their kids to school. At the event, which YPM also attended, it highlighted how it recognizes the significant contribution of women in development. Women have also grown at the forefront of Peace Makers (PM) VICOBA groups which are managed by YPM so through these groups women have become the catalyst for development in their families and society as a whole. A spokesperson for YPM, Miss Lydia Mshemu, explained that YPM strongly opposes sexual abuse, early marriage and teenage pregnancy by launching campaigns that educate parents, the community and the girl child on the issues that particular issues that are holding back development. He also urged women and the community not to remain silent when they see acts with intentions of infringing women’s rights.

DEVELOPMENT STAKEHOLDERS MEETING IN KOROGWE COUNCIL.

Halimashauri ya Wilaya Korogwe Mji iliandaa Mkutano wa Kuwakutanisha Wadau wa Maendleo.Mkutano huo uliofanyika tarehe moja ya mwezi Machi mwaka huu ambapo takribani mashrika nane(8) yasio ya Kiselikali na ya Kijamii yalikutana Korogwe Tanga kwaajili ya kushauriana juu ya uhusiano wao katika utekelezaji wa kazi zao katika Wilaya hiyo pamoja na kuelezana kuhusu Sheria ya Mashirika ya sio ya Kiserikali na ya kijamii ya mwaka 2019. Katika mkutano huo YPM iliwakilishwa na Meneja Miradi Bwana Peter Jally pamoja na Afisa Miradi wa YPM Bwan Francis Kamote.

Korogwe Distric Township Council prepared Development Stakeholders Meeting. The meeting was held on 1st March 2021 where by almost 8 Non Governmental (NGOs) and Civil Society Organizations(CSOs) gathered at Korogwe Districts in Tanga region. The meeting firstly aimed at strengthening their relationship and secondly to discuss Non-Governmental Organization Act of 2019. In this meeting YPM was represented by Program Manager Mr. Peter Jally and Program Officer Francis Kamote.

Monitoring and Evaluation at Korogwe zone

Kuanzia tarehe 9 mpaka 11 of February, Meneja Miradi  na  Afisa  Mazingira, Utetezi na Michezo walitembelea Wilaya ya Korogwe kwajili ya Kutambulishwa kwenye ofisi za Serikali za kata  na kijiji. Sambamba na hilo walitembelea vikundi mbalimbali vya VICOBA ili kuwatia moyo na kuwasaidia namna ya kutatua changamoto zao. Memeja Miradi ambae pia ni Afisa Uwezeshaji Kiuchumi aliwasisitiza wanavikundi kutumia huduma za kibenki kama njia salama ya kutunza  fedha zao. zaidi ya hayo aliwaeleza wana vikundi fulsa mbalimbali za kijasiliamali ambazo taasisi inawapa wanavikundi wake.

From 9th to 11th of February, YPM program Manager and Program Officer for Environment, Advocacy and Sports visited Korogwe District for Introduction at the ward and village government offices. Along with that they visited various VICOBA groups to encourage them and help them figure out how to solve their challenges. Project Manager who is also the Program Officer for Economic Empowerment urged group members to use banking services as a safe way to manage their finances. In addition, he explained to the members of the various entrepreneurial opportunities that the Organisation offers to its members.

YPM and Vodacom Tanzania M-Koba Training

Today YPM and Vodacom Tanzania conducted a collaboration training here at Lushoto town. The training involved PM SIGs (VICOBA) and facilitator Irene Felix Nyenyembe from Vodacom with the aim of introducing SIGs members to financial services called M-Koba, which will help them to buy shares and perform all financial transaction of their groups and keep all group records through their mobiles phones. During the training, YPM Program Manager and and Program Officer for Economic Empowerment spoke to the participants about the importance of using M-Koba and abandon traditional ways of keeping money at homes. He also kindly asked SIGs members to maintain their Unity and solidarity while exploring new economic opportunities so that they do not left anyone behind in economic development of their groups and as individuals.

Leo YPM na Vodacom Tanzania wameendesha mafunzo kwa vikundi vya VICOBA vinavyosimamiwa na Vijana waleta Amani Tanzania (YPM). Dhumuni la mafunzo hayo nikuwawezesha wanavikundi kutumia huduma ya M-Koba ili waweze kuweka hela zao nakufanya miamala ya vikundi vyao kwa usalama zaidi kuliko kuziweka hela kwa mtu au majumbani. Katika mafunzo hayo Meneja Miradi wa YPM ambaye pia ni Afisa wa Uwezeshaji Kiuchumi aliwaomba washiriki kutumia fursa hiyo pamoja nakuhakikisha kua wanaendeleza umoja wao na hawamuachi mtu yeyote nyuma katika maendeleo ya kikundi na mtu mmoja mmoja.

Meeting With Duty Bearer

YPM Program Manager Mr. Peter Jali and Program Officer for Sports, Environment and Advocacy have official conversations with Community Development Department at Korogwe Township Council today, mainly for discussing how the Department will collaborate with YPM in promoting social-economic development in Korogwe. Not only that but also, the two officers visited Mgombezi Trees Nursery which is the initiative of the organisation to protect and preserve the environment. The trees are ready to be planted and SIGs (VICOBA) members are kindly argued to communicate with their leaders so as they can get trees for planting in their own piece of land.

Maneja Miradi wa YPM pamoja na Afisa Michezo, Mazingira na Utetezi wamekua na mazungumzo na Kitego cha Maendeleo cha Halimashauri ya Miji wa Korogwe kuona ni jinsi gani wanaweza kushirikiana ili kuhamasisha maendeleo ya Kijamii na Kiuchumi Wilayani Korogwe. Zaidi ya hilo, Maafisa hao waliweza kutembelea kitalu cha miti Mgombezi ambacho ni uanzilishi wa Shirika katika kulinda na kutunza Mazingira. Kwa sasa miti ipo tayari na wana VICOBA wanaombwa kuwasiliana na Viongozi wao ili waweze kupata miti kwaajili yakupanda katika mashamba yao.