The World Environmental Day

Siku ya Mazingira Duniani

Tarehe 5 ya mwezi wa 6 kila mwaka dunia husherehekea siku ya Mazingira Duniani, siku hii ilianzishwa rasmi na Umoja wa Mataifa mwaka 1972 ikiwa na kusudi kubwa la kueleza changamoto mbalimbali zinazokuba mazinira yetu lakini pia kusaidia kuelimisha jamii juu ya mazingira,changamoto zinzokumba mazingira na njia gani zitumike ili kutunza mazingira.Kwa mwaka huu Siku ya mazingira duniani imeazimishwa nchini Pakistani,kitaifa imeazimishwa Makao Makuu ya nchi jijini Dodoma halikadhirika kiwilaya imefanyika Kata ya Lushoto katika viwanja vya Nyerere Squire.Sikuu hii imebeba kauli mbiu inayosema “KUOKOA MFUMO WA IKOLOGIA” .Katika siku hii muhimu YPM imeshiriki kutuza mazingira kwa kugawa miti na kupanda miti zaidi ya mia tatu(300) katika vikundi vya kijamii vya huduma ndogo za fedha vya kata ya Ngulwi.Meneja miradi Bwan. Peter Jally akiambatana na Afisa Mazingira na Utetezi Bi.Lidya Mshemu pamoja na wafanya kazi wengine wa YPM wamehamasisha vikundi hivyo juu ya utunzaji wa mazingira kwa kupanda miti lakini pia, kwakutumia nishati mbadala. Watumishi hao wa YPM walivieleza vikundi hivyo madhara yanayotokea kotokana utonzaji mbovu ma mazingira kama mabadiliko ya hali ya hewa yaliopelekea mvua nyingi kunyesha na kuharibu mazao pamoja na miundo mbinu kwa mwaka 2020.Baada ya hapo zoezi la upandaji miti liliendelea kwenye mashamba yao ambapo wanavikundi hao walielekezwa vipimo sahihi na naamna ya kupanda miti hiyo.

The World Environmental Day

On the 5th of June every year the world celebrates World Environment Day, this day was officially established by the United Nations in 1972 with the aim of highlighting the various challenges facing our environment but also helping to educate society about the environment. This year World Environment Day has been celebrated in Pakistan, national has been celebrated at the country’s Capital City in Dodoma and District level was celebrated at Lushoto ward on the Nyerere squire ground. On this important day, YPM has been involved in protecting the environment by donating trees and planting more than three hundred (300) trees to the Community Microfinance Groups (CMGs)of Ngulwi Ward in Lushoto District. The Program Manager Mr. Peter Jally accompanied by Environment and Advocacy Officer Ms. Lidya Mshemu along with other YPM staff members have encouraged the groups on environmental protection by planting trees but also by using renewable energy The YPM staff briefed the groups on the effects of poor weather and climate change, which led to heavy rains and crop failures as well as infrastructure in 2020. After that, tree planting continued on their farms where the group members were directed on the accurate measurements and on how to plant those trees better.

The National Torch of Freedom

Youth peace makers wakipata nafasi ya kishiriki siku ya mbio za mwenge ambapo mwenge ulipita wilayani Lushoto ili kukagua na kuzindua miradi mbali mbali ya kitaifa. Maadhimisho haya yaliongozwa na kiongozi wa Mbio za mwenge LT.Josephine P. Mwambashi, (Pichani no 3)ambapo pia alipata nafasi ya kupitia banda la YPM na kujifunza kuhusu shughuli zote zinazofanywa na taasisi yetu…

Youth Peace Makers got a chance to participate in the activities of National Torch where by the organization got a chance to talk about it’s activities with the leader of the event Lt.Josephine P. Mwambashi (Picture No 3).

CMGs Monitoring, Evaluation and Training

Taasisi ya YPM ikiongozwa na Meneja Miradi Mr. Peter Jally pamoja na wafanyakazi wengine wa YPM wametembelea Vikundi vya Kijamii vya Huduma Ndogo za Fedha (Community Microfinance Groups (CMGs). Vikundi vilivyotembelewa ni vya Mnazi pamoja na Mbaramo katika Wilaya Lushoto. Aidha, Meneja Miradi katika semina alioiendesha amewaeleza wanavikundi hao na kuwafafanulia juu ya sheria inayovitaka vikundi hivyo visajiliwe. Pamoja na hayo alisisitiza mshikamano na kufuata sheria,kanuni na taaratibu ambazo vikundi hivyo vimejiwekea ilikuhakikisha vinafikia malengo yao.

YPM led by Program Manager Mr. Peter Jally and other staff visited Community Microfinance Groups (CMGs) of Mnazi and Mbaramo in Lushoto District to see how the groups are doing but also to insists on the importance of registering their groups as the law requires. In addition, the Program Manager emphasized the groups to follow all the rules, regulations and procedures that the groups have set themselves to ensure that they achieve their goals.

YPM FORUM

Kutana na Youth Peace Makers Forum (YPMF) vijana kutoka Machame Health Institute ambao wanajishughulisha na harakati mbali mbali za kuhakikisha jamii inakuwa salama kimazingira na pia kwenye sekta ya usawa wa kijinsia.Forum hii inajihusisha sana na SDG no 10 Ambayo ni Climate Action pamoja na 17- Reduced inequalities chini ya mwamvuli wa Taasisi ya Youth Peace Tanzania.

Meet Youth Peace Makers Forum(YMPF), these are youth from Machame Health Institute that works hand in hand with Youth Peace Pakers Tanzania to make sure society gets all the help they need specially from the SDG goal no 17&10 that is Climate action and Reduced Inequality. YPM is very proud of this group and appreciate all the work they are doing to make sure the society is safe and gets all the knowledge they deseve.

IJA Peace Club

 IJA Peace Makers

There has been a very productive discussion with 18 youth from the Institute of Judicial Administration (IJA). The purposes were to discuss how the students would be able to collaborate with the YPM, choosing the leadership of the peace club where the Chairperson was elected to be Ms.  Mwanahamisi Sadick the secretary was appointed Mr. Rashid Mdee and the Disciplinary Officer was elected Mr. Josue Felician. Not only that, but the young people discussed how they will address various challenges such as pollution in Lushoto District as well as educate the community on recognizing the laws of Tanzania and becoming good citizens who know their rights and responsibilities. We are grateful that youth are self-aware and actively involved in activities that affect the future of their lives.

Kulikua na mazungumzo mazuri kati ya YPM na vijana 18 kutoka Chuo cha Uongozi  wa Mahakama (IJA). Madhumini yalikua kujadili jinsi wanafunzi  hao watakavyoweza kushirikiana na taasisi ya YPM,Kuchagua uongozi wa peace club ambapo Mwenyekiti alichaguliwa kua Bi. Mwanahamisi Sadick katibu akachaguliwa  Bwn.Rashid Mdee na Mtunza nidhamu alichaguliwa  Bwn. Josue Felician. Sio hivyo tu, bali vijana hao walijadili jinsi watakavyotatua changamoto mbalimbali kama uchafuzi wa mazingira katika Wilaya ya Lushoto pamoja na kuelimisha jamii juu ya kutambua sheria za Tanzania na kua raia wema wanaojua haki na wajibu wao. Tanashukuru kwamba vijana wanajitambua na kushiriki vyema katika shughuli zinazohusu muktakabali wa maisha yao.

Agribusiness

Leo YPM imetembelea wakulima wa viazi mviringo  wa Kwedeghe ambao ni wanavikundi vya kijamii vya  watoa huduma ndogo za kifedha. Dhumuni nikuwaunganisha wakulima hawa na soko ili waweze kuuza zao hili kwa urahisi ambapo YPM imemtafuta mfanya biashara ambaye yupo tayari kununua zao hilo kwa wakulima kwa bei nzuri.

Today YPM has visited the Kwedeghe potatoes growers who are members Community Microfinance Groups. The purpose is to connect these farmers with the market so that they can sell this crop easily. In addition to that, YPM has brought a trader who is willing to buy the potatoes from those farmers in good price.

Mdahalo

Leo taasisi ya YPM ilipata nafasi ya kushiriki katika mdahalo wa mawazo kati ya wanafunzi wa chuo cha mahakama cha IJA (Institute of Judicial Administration) na Chuo cha Ufundi Mabughai -Lushoto Mada ikiwa inasema “Je kuna usawa kati ya jinsia ya kike na jinsia ya kiume katika jamii inayokuzunguka” Upande wa kuunga mkono hoja walikuwa Chuo cha Maendeleo ya jamii na Ufundi na upande wa Kupinga hoja ikiwa ni Chuo Mungu ni mwema vijana wametupa ushirikiano mzuri sana wanachuo wa IJA pamoja na wa Mabughai! Thanks also to YPM crew kwa ushiriki na ushirikiano chanya! *#Youth Peacemakers Tanzania………..together we can!*

Online Meeting

Today Young people from Institute of Judicial Administration (IJA) and other young people around Lushoto town have participated on the online meeting that has been prepared by TIMU/YUNA Tanzania. The topic that was discussed is HEATHY NATIONS WITH YOUTH ON STEERING WHEEL (Realization of GBV Free Society and Reliable SHR for a Sustained Youth Healthy Status)

Kwamasimba Stop Poverty Cup ‘Football League”

Mashindano ya Kwamasiba Stop Poverty Cup  ‘Football League’’ yamemaliza kwa mchezo wa finali kati ya Kwamasimba na Mtonga ambapo timu ya mpira wa miguu ya Mtonga ilishinda mechi hiyo kwa mikwaju ya penati.Mashindando hayo yalianzishwa kwaajili ya kuwawezesha vijana kupigana na Umaskini lakini pia kuleta amani, furaha na mshikamano katika jamii. Kulikua na jumbe mbalimbali zilizokua zinapamba mashindano hayo kwaajili ya kuelimisha jamii. Kupiga vita ndoa za utotoni, kuchangamkia fursa za mikopo kutoka halimashari pamoja na kuinua vijana kimichezo kwani michezo ni ajira ni moja ya jumbe zilizokua zikionekana kwenye mabango yalikuwepo uwanjani. Zaidi ya hayo, zawadi zilitolewa kwa mshindi wa kwanza, wa pili na watatu. Viongozi mbalimbali wa Serikali waliipongeza taasisi ya YPM kwa kushiriki vizuri katika shughuli zakuleta maendeleo kwenye jamii na kuahidi kutoa ushirikaono wakaribu kwataaasi kila watakapo itembelea jamii yao.

The Kwamasiba Stop Poverty ‘Cup Football League’’ ended with a final match between Kwamasimba and Mtonga where the Mtonga football team won the match on penalties. The tournament was started to enable young people to fight poverty but also to bring peace, happiness and solidarity in society. There were various messages put up decorating the competition for the purpose of educating the community. Fighting child marriage, seizing credit opportunities from the council as well as uplifting young people in sports as sports are jobs is one of the messages that were appearing on the posters on the field. In addition, prizes were awarded to the first, second and third place winners. Various government officials commended the YPM for its active participation in community development activities and pledged to provide co-operation whenever they visit  their community.

Environmental Protection by Planting Trees

Vijana Waleta Amani Tanzania wanapenda kuwakumbusha kuhusiana na swala la Utunzaji Mazingira kwa kupanda miti.Taasisi imetengeneza Vitalu vya Miti Lushoto katika ofisi za YPM na Korogwe maeneo ya Mgombezi. Unachotakiwa kufanya nikufika iliuweze kupata miti hiyo bure kabisa.(Hii ni mahususi Kwa Vikundi vya Kijamii vya Huduma ndogo za Fedha vya Vijana Waleta Amani).

Youth Peace Makers Tanzania would like to remind you about the issue of Environmental Protection by planting trees. The organization had prepared two tree nurseries in Lushoto and Korogwe. All you have to do is come and get your trees for free. (This is very specific to Peace Makers Community Microfinance Groups).