Leo taasisi ya YPM imepata nafasi kushiriki siku ya vijapaji Katika shule ya upili Shambalai nakujionea vipaji vya uimbaji, uigizaji, mitindo, skauti, nyimbo na maigizo kutoka katika klabu za amani shuleni hapo.
Nifuraha yetu kuona vijana wanatambua vipaji vyao na kuvitumia katika kuleta maendeleo binafsi na taifa kwa ujumla.
Siku ya vijana duniani ilianzishwa na Umoja wa Mataifa mnamo mwaka 1999 na kuidhinishwa mwaka 2000. Lengo la siku hii ni kuhamasisha uangalizi wa masuala ya kitamaduni na kisheria yanayowahusu vijana.Siku ya vijana duniani huadhimishwa kila mwaka. Tarehe 12 ya mwezi wa 8 imeidhinishwa kama fursa kwa serikali na taasisi mbalimbali zisizo za kiserikali kuwaleta vijana pamoja na kuwaongoza waweze kujadili mambo mbalimbali yanayohusu mustakabali wa Maisha yao. Maadhimisho haya huambatana na matamasha, warsha, hafla za kitamaduni, na mikutano ambayo hufanyika ulimwenguni kote nakuhusisha maafisa wa serikali kitaifa, serikali za mitaa na mashirika ya vijana.
Taasisi ya Youth peacemakers (YPM) huadhimisha kuzaliwa kwake tarehe 12 ya mwezi wa 8 kila mwaka sambamba na maadhimisho ya siku ya vijana duniani. Katika sherehe ya kuadhimisha siku ya vijana duniani taasisi ya Youth Peace Makers iliandaa kongamano la vijana tarehe 14.08 lenye kauli mbiu ya “UIMARISHAJI WA MIFUMO YA CHAKULA KATIKA UKUAJI WA AFYA YA AKILI NA MWILI KWA VIJANA” ikiwa ni kilele cha siku hiyo ya vijana kimataifa kwa taasisi. Kongamano hilo lililohudhuriwa na vijana kutoka shule mbalimbali za sekondari zilizopo katika wilaya ya Lushoto Kama vile Shambalai, Lushoto,Ubiri na Prince Claus. Lengo la kongamano hilo ni kuhamasisha vijana kutumia vyakula vya asili katika ukuaji wa afya ya akili na mwili. Vijana hao walipata fursa ya kuwasilisha mada mbalimbali kwa njia ya maigizo, nyimbo na ushauri. Zifuatazo ni mada zilizo wasilishwa;
Umuhimu wa chakula mashuleni,Mada hii iliwasilishwa kwa njia ya igizo na wanafunzi kutoka shule ya sekondari Shambalai, ikionesha umuhimu wa wanafunzi kupata chakula wawapo mashuleni ili kuongeza ufanisisi wa wanafunzi katika masomo yao.
Kushuka kwa uzalishaji wa mazao kipindi cha uviko-19, Mada hii iliwasilishwa na wanafunzi kutoka shule ya sekondari Prince Claus ikionesha namna ambavyo Uviko-19 ulivyoathiri uzalishaji wa mazao ya chakula kuanzia ngazi ya familia hadi taifa kwa ujumla.
Kujikinga na Uviko-19, Mada hii iliwasilishwa kwanjia ya wimbo na wanafunzi kutoka shule ya sekondari Lushoto, wakizungumzia zaidi vijana kujikinga na ugonjwa hatari wa Uviko-19 ili kutunza na kuendeleza nguvu kazi ya taifa.
Umuhimu wa kula vya asili,Mada hii iliwasilishwa kwa njia ya igizo na wanafunzi kutoka shule ya sekondari Ubiri, ikionesha umuhimu wa matumizi sahihi ya vyakula. Matumizi ya kupindukia ya vyakula vitokavyo viwandani na vyakula vyenye mafuta mengi huathiri afya zetu kwa kiasi kikubwa pia hupelekea vifo kwasababu ya kemikali zitumikazo katika usindikaji wa vyakula hivyo.
The International Youth Day
World Youth Day was established by the United Nations in 1999 and was approved in 2000. The purpose of the day is to encourage the form of cultural and legal issues related to young people. World Youth Day is celebrated annually and 12th Aug is approved as opportunities for government and non-governmental orgaisations to bring young people together and guide them to discuss various issues that affect their lives. The celebrations involve concerts, workshops, cultural occasions, meetings and discussions to mention a few that are being conducted worldwide and usually attended by young people, elderly people, government officials, local authorities, youth-based organisations and community members at large.
YPM as one of youth-based organisation Tanzania which luckily got its registration on very 12th of Aug 2014 celebrated the day by gathering together young people at her head offices in Lushoto. Youth Peacemakers celebrated the International Youth Day by considering the theme of the day which is “CONSOLIDATION OF FOOD SYSTEMS IN MENTAL AND BODY HEALTH GROWTH FOR YOUNG PEOPLE” where by different government speakers, school students and volunteers cemented their discussion and presentation according to the theme.
The purpose of the event was to encourage young people to use natural foods for mental and body health growth. The young people had the opportunity to present various topics through drama and songs. The following topics were presented by different speakers during the gathering as follows;
The importance of food in School, this topic was presented through the drama by the students from Shambalai Secondary School, showing the importance of pupils to get food in schools so as to increase the activeness of their mind during studies hours. The decline in crop production duringCovid-19, This was presented by the students from Prince Claus Secondary school, showing how covid-19 affected food production from the family level to the nation level. Fighting against Covid-19, this was presented through song by the students from Lushoto secondary school, leaving young people with a good message of protecting themselves from the risk of covid-19 so as to maintain and develop the national man power. The importance of natural foods, this topic was presented through the drama by students from Ubiri secondary school, indicating the importance of maintaining proper eating habits. The students stressed that the excessive use of processed foods may affect young health largely, also it can cause diseases like cancer which might lead to deaths.
Finally, YPM presents gratitude to the Lushoto District Executive Director Miss. Ikupa Mwasyoge, the Lushoto District Educational officer at Primary School level, Shambalai, Lushoto, Ubiri and Prince Claus secondary school students who attended the event.
Mkutano wa SADC unaohusisha vijana uliendelea kwa siku ya pili katika ofisi zetu za YPM Lushoto ulio hudhuriwa na vijjana 12 unaoendeshwa na Malawi kupitia mtandao wa Zoom.
Kwa siku hii ya pili vijana waliendelea kujifunza mada zifuatazo;
“Vyombo vya Habari na vijana” (Mchango wa vyombo vya Habari katika maendeleo endelevu ya vijana waliopo katika nchi za SADC)
“Mchango wa vijana wa SADC katika kupambana na magonjwa ya kitropiki yasiyopewa kipaumbele (NTDS) na Malaria “(Kupanga mikakati ya kupambana na magonjwa ya kitropiko yasiyopewa kipaumbele na Malaria katika nchi za SADC)
“Jinsia na Maendeleo ya Wanawake” (Kufichua unyanyasaji wa kijinsia uliofanyika wakati wa Uviko 19 hadi sasa)
SADC meeting have proceeded with 12 YPM Youth at YPM Head Office in Lushoto which is hosted by Malawi via Zoom, in this second day of the meeting, the following topics have been addressed;
“Media and Youth round table” (Locating the role of media in sustainable Youth Development in SADC)
“SADC Youth task force on NTDs and Malaria”, (Setting a sustainable course to fight NTDs and Malaria in SADC: Call to Action)
“Gender and Women development” (Addressing gender-based violence during and post Covid-19)
Around 12 YPM youth have gathered here at the YPM head office in Lushoto to attend 3rd Southern of Africa Development Community (SADC) meeting hosted in Malawi via Zoom. The theme of the meeting is “Blue and Green Economy for Sustainable Development” . During the first day of meeting the following topics have been addressed;
“Stop the Bleeding: Enhancing Domestics Resource Mobilization to Finance Youth Development (Bolstering SADC youth participation in global tax reforms to curb IFFs and improve finance for sustainable development in Africa”) and the other session was about Strategies to ensure Inclusive and Quality Education During Covid-19 Pandemic.
YPM attended a public lecture prepared by the University of Arusha on the topic of youth and employment in the contemporary world held at University of Arusha. The public lecture was hosted by the University of arusha administration lead by the Vice chancellor Professor Patrick Manu. The guest speaker was Honorable Humphrey Polepole a member of the Parliament of United republic of Tanzania and a Chairman of Parliamentary Standing Committee on Administration and Local Government in the Parliament of United republic of Tanzania.
Other stakeholders from national level (Tanzania Employment Services Agency under the Prime Minister’s Office Labor, Employment, Youth and People with Disability) and reginal level (the east African Community Youth Council) attended the event.
Group photo after the events/YPM
During the presentation Mr. Humphrey Polepole urged that, in Tanzania there is a low level of unemployment estimated to 2% to 6 % but there is a high level of underemployment and this is because firstly, the education system does not allow youth to have productivity in the employment secondly poor agriculture system which employs 75% of Tanzanians and contributing to over 29% of the Growth Domestic Product thirdly, young people do not see the challenges facing the world as an opportunity to them and offer solutions through innovation ,creative thinking and lastly the Government does not fully participate in the fourth added Hon. Polepole.
Hon. Polepole further concluded that, the government shall modify the education system that will prepare well youth and provides support to the education institution so that they can produce desirable skills to meet the employment market demands. Not only that but also, the government shall participate and prepare youth effectively in the fourth industrial revolution.
Mwezi wa Kutokomeza Ukatili na unyanyasaji kwa Watoto.
Opening ceremony by Rev. Godfrey T. Walalaze ( Youth Peace Makers Director)
Shirika la Youth Peace Makers Tanzania limeanzisha kampeni kubwa ya Kutokomeza Unyanayasaji na Ukatili kwa Watoto kupitia jukwaa lake la vijana liitwalo Youth Peace Makers Forum Tanzania. Tukio hilo kubwa limefanyika Moshi Kilimanjaro katika ukumbi wa mikutano wa YMCA. Wadau mbalimbali wanaopigania haki za mtoto walihudhulia na kuwasilisha mada mabalimbali kwaajili ya kukuza uwelewa wawashiriki. Shirika linatambua Mchango na ushiriki mzuri wa Mrs. Matilda Phillip mwanasheria wa zamani wa UNICEF ambae alitoa maada juu ya sheria zinazolinda haki ya mtoto pamoja na kuonyesha ni wapi sheria hizo zinaweza kurekebishwa ili ziweze kuongeza tija katika kupambana na ukatili na unyanyasaji kwa watoto,
Mrs. Matilda Phillip the former UNICEF Attorney on a discussion about laws that protect child
Mrs. CPL Hapiness Eliufoo kutoka dawati la jinsia Wilaya Hai,Mr.Helga Simon kutoka ustawi wa jamii wilaya Hai, na Mr. Mwelinde Jason kutoka ustawi wa jamii Chuo cha Afya Machame. Taasisi inapenda kupongeza Vyuo vyote pamoja na watu wote waliohudhuria kwenye tukio hili kubwa la kuweka mikakati juu ya kupinga na kutokomeza unyanyasaji dhidi ya watoto. Akizungumza na vijana waliodhururia kwenye kongamano hilo Mkurugezi wa Taasisi ya YPM Mch. Godgfrey T walalaze aliwashukuru vijana kwa kushiki vyema lakini pia kuwaasa kuchukua hatua stahiki ili kupinga Unyanyasaji na Ukatili kwa watoto. Mch. Walalaze aliendelea kuwaambia vijana kua nguvu na tegemeo la Taifa katika maendeleo vipo mikononi mwa vijana hivyo vijana wanapaswa kufanya kazi kwa bidii ili kujikwamua kiuchumi na kuleta maendeleo katika Taifa letu.Aidha, aliwashukuru vijana wote walioshiriki kikamilifu katika kuandaa kongamano hilo ambalo ni mala ya kwanza kufanyika na kuwaomba wawe na moyo huo huo wakujituma katika shughuli zinazoleta maendeleo kwa Taifa.
Child Abuse Prevention Month (CAP) the Month to End Violence and Child Abuse.
Youth Peace Makers Tanzania has launched a major campaign to end Child Abuse and Violence through its youth forum called Youth Peace Makers Forum Tanzania. The big event took place in Moshi Kilimanjaro at the YMCA conference hall. Various stakeholders fighting for the rights of the child attended and presented various topics for raising awareness among the participants. The organization recognizes the contribution and positive participation of Mirs. Matilda Phillip, a former UNICEF attorney who provided information on child protection laws as well as where the laws could be amended to increase productivity in the fight against child abuse and violence, Gender Desk representative Mrs.
Participants concentration on listening to the topics that were presented
CPL Happiness Eliufoo from the Hai District, Mr. Helga Simon social welfare officer from Hai District, and Mr. Mwelinde Jason social worker from Machame College of Health. YPM would also like to congratulate all the Colleges as well as all the people who attended this great event to put in place strategies to prevent and eradicate child abuse. Speaking to the young people who attended the event, the Director of YPM Organisation Rev. Godgfrey T. Walalaze thanked the youth for their positive attitude but also urged them to take appropriate action to combat child abuse and violence. Rev. Walalaze also told the participants that, the strength and reliance of the Nation in development is in the hands of the youth so the youth should work hard to get rid of poverty and Injustice and bring development in the Nation. In concluding, the Director urge them to have the same heart to commit themselves to activities that bring development to the Nation.
Kila mwaka Y Global na washarika wake huandaa mashindano ya michezo ya Afrika Mashariki ambayo hufanyika mkoani Kilimanjaro Tanzania. Mashindano hayo hushirikisha Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki ambapo mashirika yote huleta timu mbalimbali katika mashindano haya.
Mwaka huu kutokana na janga la Uviko 19 imekua vigumu kushiriki mashindano kama ilivyokua kawaida. Y Global na washarika wake wametumia njia mbadala yakufanya mashindano haya kwa njia ya mtandao, ambapo kulitolewa masomo na majadiliano tofauti tofauti kuhusu michezo,jinsi ya kujikinga na magonjwa mbali mbali ikiwemo Uviko 19, Ujasiriamali, Usimamizi wa miradi na Kuongeza michezo mipya katika mashindano.
Tukiwa kama msharika wa Y Global (Shirika la vijana waleta amani Tanzania) tuliandaa vijana 14 kutoka klabu ya amani ya vijana ya chuo cha Uongozi wa mahakama na vijana wanaojitolea, ambao walishiriki katika mashindano hayo kwa kujifunza na kujadili masomo yote yaliotolewa katika kipindi cha siku mbili kuanzia tarehe 24 Juni mpaka 25 Juni 2021.
The presentation from Asman (Y global Norway)
Every year Y Global and its partners host an East African sports tournament which used to take place in the Kilimanjaro region of Tanzania. The tournament involves member states of the East African Community where all partners organization bring different teams to the competition.
This year due to the Covid 19 Pandemic it has been difficult to participate in the competition physically. Y Global and its partners have used alternative way by conducting online competitions whereby the presentation on variety sports related courses, how to protect ourselves from various diseases including Covid 19, Entrepreneurship, Project Management and Adding new games in competitions were taught and discussed through Zoom meeting.
Participants in a group photo after the event
As a partner of Y Global (Youth Peace Makers Tanzania) organized 14 young people from the Institute of Judiciary Administration Peace Club and Youth Peace Makers Volunteers were participated in this competition and learned all the lessons given in two days from the date. 24 June to 25 June 2021.
Jitihada za kutunza Mazingira zinazofanywa na Youth Peace Makers Tanzania ikishikiriki kikamilifu katika utekelezaji wa Maendeleo Endelevu ya Dunia hasa lengo namba 13 linalosema Kuchukua Hatua juu ya Mabadiliko ya Hali ya Hewa zimezidi kupamba moto ambapo YPM imegawa miche ya miti kwa jamii katika ukanda wa tambarare Mkoa wa Tanga. Zoezi hili limesimamiwa na Kikundi Cha Kijamii Cha Huduma Ndogo za Fedha cha Mgombezi ambao ndio wasimamizi wa kitalu cha YPM kilichopo Mgombezi. YPM imegawa miche 200 kwa Shule ya Msingi Mswaha, miche 250 kwa Vikundi vya Kijamii vya Huduma Ndogo za Fedha vya Handeni, Vikundi vya Komsala miche 60, Dumizi Mgombezi miche 100, Kanisa la Roma Mgombezi miche 30,Misikiti ya Mgombezi miche 200 na Shule ya Msingi Mgambo miche 200. YPM inapenda kuwakumbusha kwamba miti hii inatolewa bure kabisa, na jukumu lako uliepokea huduma hii nikuhakikisha kuwa miti hiyo inatunzwa na inakua iliiweze kukunufaisha wewe na jamii inayokuzunguka.
The tremendous efforts to protect the environment by Youth Peace Makers Tanzania have continued to bear fruits whereby YPM is actively participating in the implementation of Sustainable Development Goals (SDGs) in particular goal number 13 among other goals. The goal number 13 says “CLIMATE ACTION” which means taking action on Climate Change. In making sure that we tackle the challenge, YPM had distributed tree seedlings to communities in the lower land part of the Region of Tanga. The activity was supervised by the Community Microfinance Group of Mgombezi who take care of the YPM trees nursery at Mgombezi. YPM has distributed 200 trees to Mswaha Primary School, 250 trees to Handeni SIGs, 60 trees to SIGs at Komsala , 100 Trees to Duminzi Mgombezi, Roman Catholic Church 30 trees, Mosques around Mgombezi 200 trees and 200 trees to Mgambo Primary School.
YPM would like to remind you that these trees are provided free of charge, and your responsibility when receiving this service is to ensure that the trees are cared for and grow so that it can benefit you and the community around you.
Today, June 16, the world celebrates the International Day of the African Child with the message “Implement the 2040 Agenda, for the Africa that Protect Children’s Rights”. In Lushoto district this ceremony took place in Yoghoi village where Government, Private and Government Officials came together to educate the community on the eradication of child abuse and violence. YPM Environment and Advocacy Officer Miss. Lidya Mshemu got a chance to talk to parents as well as children. Miss Mshemu, urged parents to reflect on this important day for children and the world at large and to see how they can work with various development partners and the Government to end child abuse and ensure that children get their rights. He added that YPM recognizes and fights for the rights of the child by launching a ‘Let Me Study Education is my Redeemer, conducting various dialogue and encouraging community to fight against Early Marriage and Early Pregnancy which has been a big challenge that have led to school drop out for many young girls. Not only that, but YPM has succeeded in contributing to the cost of health insurance for some vulnerable children in Lushoto District as well as distributing water containers for hand washing to schools to enable children to protect themselves from diarrhea and typhoid and improve their hygiene. All of this is to ensure that YPM is in support of the community development and enables children to fulfill their future dreams.As a parent, guardian, youth or development partner, let us work together to protect the African children as they are our treasure.
Yoghoi Primary School kids singing their poem in front of the Guest of Honor
Leo tarehe 16 ya mwezi Juni dunia inaazimisha Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Afrika yenye ujumbe “Tutekeleze Ajenda 2040, kwa Afrika inayolinda Haki za mtoto”. Katika wilaya Lushoto maazimisho haya yamefanyika Katika kijiji cha Yoghoi ambapo Viongozi wa Serikali,Mashirika Binafsi na Yakiserikali wamejumuika kwapamoja ilikuelimisha jamii juu za kutokomeza vitendo vya kinyanyasaji na ukatili dhidi ya watoto.Afisa Mazingira na Utetezizi wa YPM Miss. Lidya Mshemu alipata nafasi ya kuzungumza na wazazi pamoja na watoto. Miss Mshemu, aliwaasa wazazi kutafakari juu ya siku hii muhimu kwa watoto na dunia kwaujumla na kuona nijinsi gani wanweza kushirikiana na wadau mbalimbali wamaendeleo na Serikali ili kutokomeza ukatili kwa watoto na kuhakikisha kwamba watoto wanapata haki zao. Aliongeza kwa kusema kwamba, YPM inatambua na kupigania Haki za Mtoto kwa kuanzisha kampeni ya ”Niache nisome Elimu ndio Mkombozi wangu, Kuendesha majadiliano mbalimbali na kuhamasisha jamii kupiga vita Ndoa za Utotoni na Mimba za Utotoni. Si hivyo tu, lakini YPM imefanikiwa kuchangia gharama za bima ya Afya kwa baadhi ya Watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu hapa Wilaya Lushoto pamoja na kusambaza ndoo za kunawia mikono mashuleni ili kuwezesha watoto kujikinga na magonjwa ya kuhara na typhoid. Yote haya nikuhakikisha kua YPM inakua msaada kwa jamii na kuwezesha watoto kutimiza ndoto zao.
IJA Peace Club performing short drama to educate the audience about Child rights and how they can be protect
Ukiwa Mzazi,Mlezi, Kijana au Mdau wa Maendeleo, tushirikiane kwa pamoja kumlinda mtoto wa Afrika kwani ndio hazina yetu.
Kuanzia tarehe 08 ya mwezi wa 06 hadi tarehe 10 ya mwezi Juni YPM imetembelea Vikundi Vya Kijamii Vya Huduma Ndogo za Fedha Halimashauri ya Bumbuli katika kijiji cha Muwao, Kabuku Wilayani Handeni, Tanga mjini pamoja na Duga Maforoni na Moa. Lengo kuu la ziara hiyo nikutatua changamoto mbalimbali zinazokubwa vikundi pamoja na kuwaelimisha na kuwahamasisha wanavikundi kusajili vikundi vyao. Zaidi ya yote Elimu ya Ujasiliamari ilitolewa kwa wanavikundi hao ili wana vikundi hao waweze kuchangamkia fursa mabalimbali za kiuchumi wanazokutana nazo.
From the 08th of the month of 06 to 10th of June YPM has visited the Community Small Financial Services Groups Bumbuli Council in Muwao village, Kabuku in Handeni District, Tanga town as well as Duga Maforoni and Moa. The main purpose of the visit is to address the various challenges facing groups as well as to educate and motivate group members to register their groups. Most of all, Entrepreneurship Education was provided to these group members to empower them to grab all economic opportunities with and outside their residence areas.