This Friday Shambalai Secondary School had a Debate with Mombo Secondary School on the topic ” Science and Techonology have brought more harm than good in third world countries”
We are happy that young people had managed to argue and share their thoughts about the topic.
Kila tarehe 8 ya mwezi Machi dunia inasheherekea siku ya wanawake duniani. Katika ngazi ya Wilaya YPM imeungana na maasifa wa serikali wakiongozwa na mgeni rasmi ambae ni Mkuu wa Wilaya Lushoto Mheshimiwa Karisti Lazaro, Mkurgenzi mtendanji mheshimiwa Ikupa Mwaisyoge pamoja na maafisa wengine. Maadhimisho hayo yalikua na kaulimbiu isemayo ”Usawa wa kijinsia wa leo,kesho na endelevu”.Sio hivyo tu bali wanachi na wanafunzi walijitokeza kwa wingi kusheherekea siku hiyo.
World Women’s Day celebrations.
Every March 8th the world celebrates International Women’s Day. At the district level YPM is joined by government officials led by the official guest who is Lushoto District Commissioner Hon. Karisti Lazaro, Executive Director Hon. Ikupa Mwaisyoge and other officials. The theme of commemoration was “Gender equality today, tomorrow and sustainability”. Not only that but citizens and students turned out in large numbers to celebrate the day.
It is from YPM Peace Club to the Environment Champion.
Meet Leonard Antony Msumari who completed his O-level studies in 2021 at Prince Claus Secondary School in Lushoto district. Leonard is 19 years old and lives with his parents in the village of Irente which is about two and a half miles from where he lives. When he started his studies in 2018 he joined the YPM Peace club which has been established by the YPM Tanzania Organisation for the purpose of mobilizing young people on environmental stewardship. While working with the YPM Peace club, Mr. Antony expressed admiration for the way the club grew up caring for the environment by organizing tree nurseries and planting trees. Leonard not only actively participated in the club activities and showed his ability and high motivation in the club, but also took the distributed trees and planted them in their fields. However, Mr. Antony became more interested in setting up a nursery at his home place. Speaking to YPM staff, Mr. Antony said that he has so far sold 36000 trees to the community members and planted a total of 1500 trees from last year to now. YPM staff are pleased to see young people actively involved in liberating the world and find the solution for tackling the issue of climate change. Congratulations to Mr. Leonard Antony on this milestone and we are behind him to support him in this movement. Our call to the youth is to support the efforts of rescuing the world from the challenges which are being brought by climate change.
Kijana aliefanikiwa kuikoa dunia.
Ni kutoka YPM klabu ya Amani mpaka mpigania haki za mazingira.
Kutana na Leonarld Antony Msumari ambae ni ni mwanafunzi aliehitimu masomo yake ya kidato cha nne mwaka 2021 katika Shule ya Secondari Prince Claus Hapa wilayani Lushoto. Leonard ana umri wa mika 19 na anaishi na wazazi wake katika kijiji cha Irente ambapo ni kilometa takribani mbili na nusu kutoka nyumbani anapoishi. Wakati alipoaanza masomo yake mwaka 2018 alijiunga na YPM Peace club ambayo imeanzishwa na taasissi ya YPM Tanzania kwa lego la kuwahamasisha vijana juu ya utunzaji wa mazingira. Alipokua kwenye YPM Peace club ndugu Leonard alionyesha kufurahishwa na jinsi club hiyo ilivyokua inatunza mazingira kwa kuandaa vitalu vya miti na kupanda miti. Leonard alishiriki kikamilifu lakini pia hakuishia kuonyesha uwezo wake na hamasa ya juu shuleni tu, bali alichukua miti waliogaiwa nakuipanda kwenye mashamba yao. Hata hivyo ndugu Leonard alivutiwa zaidi na akaanzisha kitalu cha miti nyumbani kwao. Akizungumza na wafanyakazi wa YPM ndugu antony amesema kwamba mpaka sasa ameuza miti 36,000 na amepanda jumla ya miti 1500 toka mwaka jana hadi sasa. Uongozi wa YPM umefurahishwa sana kuona vijana wanashiriki kikamilifu katika kuiokoa dunia na mabadiliko ya hali ya hewa. Tunampongeza sana ndugu Leonard kwa hatua hii aliofikia nakwamba tupo nyuma yake kumuunga mkono katika harakati hizi.Wito wetu kwa vijana nikuwaomba kuunga jitihanda zinazofanywa na dunia ilikuiokoa kutoka kwenye janga la mabadiliko ya hali ya hewa.
Mabadiliko ya tabianchi ni changamoto kubwa inayosumbua dunia. Hii nikutokana na kuambatana na majanga makubwa Kama vile ukame au mafuriko ambayo huhatarisha maisha ya mwanadamu hapa duniani. Katika jitihada za kupambana na changamoto hii, Ubalozi wa uholanzi nchini Tanzania uliandaa mkutano uliokutanisha takribani vijana 100 kutoka sehemu mbalimbali katika jengo la taasisi ya Alliance Françise jini Dar es salaam kwa lengo la kuwahamasisha vijana kuchukua jukumu la kuyalinda mazingira kwa vitendo ilikuifanya dunia kuwa sehemu salama kuishi.
Mkutano ulifunguliwa na salamu za ukaribisho kutoka kwa balozi wa Uholanzi nchini Tanzania na wazungumzaji rasmi walikua ni vijana wanaharakati wa kutetea mazingira na kila mmoja alieleza hadithi yake ambayo Ilikua na mguso wa namna yake tangu alipoanza harakati hadi aliposasa. Hadithi zao zilikua hamasa kubwa kwelikweli kiasi cha kumfanya kila kijana akiwa na ari ya kutaka kupanda miti Kama sehemu ya kuyalinda na kuyatunza mazingira.
Katika kipindi cha maswali na majibu ilibainika kuwa shauku ya kutaka kupunguza mabadiliko ya tabia ya nchi ni kubwa sana kuliko matendo yanayofanyika, hii nikutokana na kuwa na sera nzuri na elimu pia, lakini changamoto yake ni kwamba havimpi ulazima mwanamchi kulibeba jukumu la kuyalinda mazingira.
Makubaliano ni kwamba changamoto hii iendelee kuzungumzwa kukuza uelewa wa raia lakini lazima zitafutwe mbinu zitakazomlazimisha kila mmoja kutunza mazingira ama akiwa anataka au hataki kwakuwa hata katika familia unaweza kuandaa chakula kizuri kinachoweza kumfanya mtoto awe na afya tele lakini yeye akakataa kula. Hivyo lazima itafutwe mbinu alazimishwe kula ilianufaike na chakula kile. Vinginevyo mikutano ya namna hii itakosa nguvu kwanza itakuwa ikijadili tu na kuandaa mikakati mizuri lakini utekelezaji hakuna na changamoto itabaki palepale.
Kutoka Taasisi ya Vijana Waleta Amani Tanzania vijana 13 walipata nafasi ya kushiriki mkutano huo. Mbali na kukuza uelewa na hamasa kutoka kwa vijana wenzao walipata wasaa mzuri wa kutengeneza marafiki wapya kutoka taasisi mbalimbali zilizo hudhuria hivyo kuifanya familia ya Vijana Waleta Amani kutambulika na kuwa kubwa zaidi.
Climate change is a major challenge facing the world. This is due to the presence of major disasters such as droughts or floods that endanger human life on earth. In an effort to address this challenge, the Dutch Embassy in Tanzania organized a conference that brought together about 100 young people from various parts of the Alliance Françise building in Dar es Salaam with the aim of motivating young people to take responsibility for environmental protection to make the world a better place to live.
The meeting was opened with welcome greetings from the Dutch Ambassador to Tanzania and the official speakers were young activists and each told his own story which was very inspiring and have its kind of impact from the beginning to the present. Their stories very impressive that they made every young person want to plant trees as part of protecting and caring for the environment.
During the question-and-answer session it was found that the desire to reduce climate change is far greater than the actions taking place, this is due to having good policies and education as well, but the challenge is that they do not give citizens the responsibility to protect the environment.
The consensus is that this challenge should continue to be discussed to raise public awareness but strategies must be employed that will force everyone to take care of the environment whether they want it or not because even in the family you can prepare healthy food that can keep a child healthy but he or she refuses to eat. So a method must be employed to force him to eat in order to benefit from that food. Otherwise meetings of this nature will lack strength first will only discuss and devise good strategies but no implementation and challenges will remain the same.
From the YPM Tanzania 13 young people had the opportunity to participate in the conference. In addition to nurturing understanding and motivation from their peers, they also had the opportunity to make new friends from various attending Organization, thus making the YPM family big recognizable.
Tarehe 14 Feb – 17Feb Norway na Ghana waliandaa mkutano wa kimataifa wakishirikina na Uingereza juu ya watu wenye ulemavu Duniani. Mkutano huu ulifanyika kwa njia ya mtandao ambapo watu mbalimbali waliwezakushiriki wakiwa majumbani kwao. Ilikua imetarajiwa kwamba watuwangeweza kukaa pamoja na kushiriki wakiwa wanaonana laikini kulingana na changamoto zilizosababishwa na ungojwa wa Korona basi ukapelekea mkutano huu kufanyika kwa njia ya mtandao. Hata hivyo hii haikupunguza maana ya Mkutano huo kwani yote yaliopangwa kujadiliwa yalijadiliwa hususa ikiwa ni kutengeneza mazingira mazuri katika nyanja mbalimbali ilikuwawezesha watu wenye mahitaji maalumu kutumia fursa izo. Mmoja wa washiriki alisikika akisema kua ” Watu wenye ulemavu wanaweza kusoma na kuelewa vizuri kama wanafunzi wengine endapo watawekewa mazingira mazuri ya kujifunzia” na hili linaenda sambamba hata katika nyanja nyingine mfano kwenye ajira watu wenye ulemavu wanapaswa kupewa nafasi na kuwekewa mazingira mazuri ya kuwawezesha wao kufanya kazi bila kikwazo chochote.
Katika siku hizi zote za mkutano YPM iliweza kuandaa vijana wapatao kumi na moja ambao kunawalioshiriki wakiwa ndani ya ofisi za YPM wakati wengine wakishiriki wakiwa majumbani mwao.
Global Disability Summit.
On 14 Feb – 17 Feb Norway and Ghana hosted an international conference in partnership with the United Kingdom on Persons with Disabilities in the World. The meeting was held online where various people were able to participate in their homes. It was hoped that the people would be able to sit down and participate and see each other but depending on the challenges posed by COVID-19 Pandemic then it led to the conference being held online. However, this did not diminish the meaning of the Conference as all that was planned such as creating a conducive environment in various fields which will enable people with special needs to interact, work or study without any obstacle. One of the participants was heard to say that “People with disabilities can learn and understand like other students if they are provided with a good learning environment” and this goes hand in hand even in other areas such as employment to help people with disability to work without any hindrance.
During all the days of the conference YPM was able to organize about 11 young people who participated in the YPM offices while others were participating from their homes.
Mpendwa rafiki na mshirika wa YPM, ninamshukuru Mungu kwa ajili yako kwa kupewa neema ya kufikia majira haya ya Krismasi. Ni mwaka unakamilika sio kwa nguvu zetu bali kwa huruma yake Mungu.
Ninawapongeza kwa kujituma katika majukumu mbalimbali, pamoja na changamoto ya Korona au Uviko 19 iliyoendelea mwaka 2021, bado tumeweza kushirikiana na kutimiza majukumu yetu. Ninawapa pole wale ambao waliugua, waliopoteza ndugu na kwa njia moja au nyingine waliopoteza hata mali zao katika kuhangaikia kuponya Maisha yao na ndugu zao. Kwenu wote ninapenda kusema Hongera kwa utayari, kujituma na kupambana hata kufikia siku ya leo.
Ni matumaini yangu kuwa tunapouelekea mwaka 2022 tutaendelea kusimama pamoja, kuwa na nia moja na kujitoa kwa ajili ya kutekekeleza majukumu yetu ya taaasisi.
Kwa washirika wetu – Y global na wengineo, wafanyakazi wenzangu, marafiki wa ndani na nje na kipekee watendakazi pamoja nasi katika ngazi za serikali na wananchi mmoja mmoja
Ninawatakia Sikukuu njema ya Krismasi na Heri kwa mwaka mpya wa 2022.
Amani ya Bwana Mungu iwe nanyi siku zote.
Dear friend and partner of YPM, I thank God for you for being given the grace to reach this Christmas season. It is a year that ends not by our own strength but by God’s mercy.
I commend you for your commitment to the various roles, despite the challenge of COVID-19 which continued in 2021, we have still been able to co-operate and fulfil our responsibilities. I offer my condolences to those who became ill, lost loved ones and in one way or another lost even their possessions in the pursuit of healing their Lives and their loved ones. To all of you I would like to say Congratulations on your readiness, dedication and fighting to this day.
It is my hope that as we move towards 2022 we will continue to stand together, be united and committed to fulfilling our organisation mission.
To our partners – Y global and others, my colleagues, friends inside and outside Tanzania and in unique way to the colleagues with us in government as well as fellow citizens,
I wish you a Merry Christmas and a Happy New Year 2022.
Mafuzo ya Ufuatiliaji wa Rasilimari za Umma (PETS) yameendelea kuendeshwa kwenye kamati zikakazo husika na mchakato huo ambapo mwezi wa desemba 2021 mafunzo hayo yamefanyika kwa kamati za Mziragembei na Msale hapa Wilaya Lushoto na kwa upande wa Wilaya Korogwe mafunzo hayo yameendeshwa katika kijiji cha kwa masimba.
Public Expenditure Tracking System (PETS) training has continued to be conducted in the relevant committees where by, in December 2021 the training was conducted for Mziragembei and Msale committees in Lusho District and on other hand, Korogwe District training was conducted in the village of Mimba.
YPM inayofuraha kupokea ugeni wa vijana wanaosimamia Jukwaa la Vijana Waleta Amani Tanzania. Vijana hao wa tano niwawakilishi wa vijana wengine kutoka katika Chuo cha afya Machame. Vijana hawa wanaendesha kampeni mbalimbali zinazolenga kuleta mabadiliko chanya katika jamii wakijikita zaidi katika Malengo Endelevu ya dunia hususa ni lengo namba tano (5) Usawa wa kijinsia na lengo namba kumi na tatu (13) Kuchukua tahadhari juu ya mabadiliko ya hali ya hewa.
Ni furaha kwetu kuona vijana wanakua mstari wa mbele katika kuleta mabadiliko chanya katika jamii zao, taifa na dunia kwa ujumla
YPM is delighted to receive a visit from the youth who run the Youth Peace Makers Forum under Youth Peace Makers Tanzania. The five young women and men are representatives of other young people from Machame College of Health. These young people are running various campaigns aimed at bringing about positive change in society focusing more on the Sustainable Development Goals specifically the goal number five (5) Gender equality and goal number thirteen (13) climate action to tackle climate change.
It is a pleasure for us to see young people take the lead in bringing about positive change in their communities, nation and the world at large.
Umwagiliaji wa matone. YPM kupitia kitengo cha uwezeshaji kiuchumi imeendesha semina ya umwagiliaji wa matunone ilikutatua changamoto ya ukame inayoikumba taifa letu ambalo linategemea kwa kiasi kikubwa kilimo cha mvua.Mafunzo hayo yamehusisha Vikundi vya Watoa Hunduma Ndogo za Fedha (SIGs) ambao waliopata mafunzo watarajiwa kuwafundisha wengine nakutumia utaalamu waliopata ili kujiletea maendeleo.
This Terms of Reference (ToR) provides the framework for the Mid-Term Review (MTR) of the Norad-funded Program titled ‘Together building global justice and peace’ (Agreement number GLO-3778 QZA-20/0112). The Program was initiated in April 2020 and is due to end in December 2023. This MTR is taking place after 21 months of implementation.
SCOPE OF MTR
The MTR is being undertaken as part of the contract agreement with Norad signed in April 2020 (clause 9.1 in the Norad agreement). It will assess programmatic progress and challenges at the outcome level, with measurement of the output level achievements and gaps and how/to what extent these have affected outcome-level progress in accordance with the approved results framework. A major focus will be on youth participation and engagement at policy level. Another emphasis will be on contribution of the program results towards the United Nations Sustainable Development Goals (SDGs) as well as program adaptability to the COVID-19 pandemic. The MTR will document results achieved in Tanzania. It will contribute to results-based management through a participatory approach that documents results achieved, challenges to progress, and contributions to the creation of a more conducive environment for addressing needs of the target groups. The MTR will be commissioned to an external consultant with support from YGlobal and its partner in Tanzania.
MTR OBJECTIVES
The MTR will mainly focus on Relevance (including youth participation and SDGs) as well as Effectiveness of the program implementation during April 2020 to December 2021 and will assess such delivery at the output and outcome levels, taking into account factors both internal and external to the project’s performance. The MTR team will:
Analyze the relevance of the programmatic strategy and approaches, particularly in the context of COVID-19.
Determine if the Program is on track to achieve anticipated outcomes. This will be done based on the changes and adaptations in relation to the COVID-19 related implications.
Analyze the engagement of young people in local, national and international policy advocacy, with an emphasis on analyzing youth empowerment.
Based on the performance of the Program to date and the current socio-political and economic as well as COVID-19 context, document lessons learned and recommend any necessary mid-term adjustments needed to meet expected and realistic project outcomes and impact and enhance sustainability. Moreover, also make recommendations for future programming.
SUBJECT OF THE REVIEW
The overall goal of the Program is to empower youth to actively participate in promoting justice and peace towards ending poverty. The Program focuses on four interconnected thematic areas that strengthen and complement each other and are also aligned with the UNSDGs: Gender Equality, Climate Action, Justice and Peace and Reduced Inequalities. Each thematic area has long-, medium- and short-term outcomes, which are also referred to macro (policy level), meso (community level) and micro (individual/household level) levels.
Impact: Empowered youth actively participate in building justice and peace
Macro: Youth are engaged in policy advocacy and decision making
Meso: Youth create change in the community
Micro: Youth have coping mechanisms to address individual and social challenges
Budget per year (approximate): 8.8 million NOK
Brief information about the partners in focus:
YGlobal (KFUK-KFUM Global) is a youth focused development and solidarity organization closely connected to its two owner-organizations, KFUK-KFUM Norge and KFUK-KFUM Scouts. YGlobal consists of a highly qualified and multinational staff of about 17, mainly young staff. The staff has extensive experience working with and for youth in advocating for and realizing the Sustainable Development Goals (SDGs). Furthermore, YGlobal has expertise in financial and results-based management, monitoring and evaluation and reporting.
YGlobal’s funding comes from Norad, Norec, Norwegian Ministry of Foreign Affairs, BUFDIR, Operasjon Dagsverk and through own fundraising, and currently collaborates with partners in Kenya, South Sudan, Uganda, Tanzania, Ethiopia, Bangladesh, Sri Lanka, Palestine, Madagascar, and South Africa. YGlobal is closely connected with the global YWCA/YMCA-networks, which are found in over 140 countries and reach about 70 million children, youth and women across the globe. Most of YGlobal’s work abroad is through local YMCAs or YWCAs.
Youth Peacemaker Tanzania:YPM is a youth-oriented organization, which provides space for interreligious, intergenerational, international, and interracial platforms to all members in its areas of work. The organization empowers youth in building strong communities that can stand for peace and justice by demanding basic social rights for fighting poverty in Tanzania. Since its inception in 2014, YGlobal has worked in close partnership with YPM on thematic areas of: Economic justice with an emphasis on forming saving and investment groups, social audits, business development and entrepreneurship; Democratic Rights focusing on Subject to Citizen (S2C) as a tool for empowering youth to gear advocacy campaigns as well as for engaging them in policy advocacy and decision making; and Environmental Protection and Climate Change stressing on creating climate clubs, tree plantation, encouraging green businesses and raising youth concerns in both local and international platforms on the topic.
Intended users and uses of the evaluation:
The partners in this program are the main user of this review, for documentation of results and for learning for further program development. Norad and other Norad partners can also be users of the evaluation. Other donors may also find the MTR useful, such as Norwegian Ministry of Foreign Affairs. YGlobal will use the lessons learnt and recommendations made in the MTR report to draft its future applications to Norad and other donors.
Approach and Methodology
A variety of methods will be used in the MTR. The MTR will consist of a desk review, visit to the program locations, in-depth interviews with partner’s staff, and in-depth interviews with their respective key stakeholders and participants (particularly young people).
Travel restrictions and other COVID-19 restrictions may limit the possibility of travelling. Under such circumstances, alternative ways of performing the evaluation will be sought, such as doing data collection and interviews using digital communication technology or using a network of consultants.
Mid Term Review Consultancy Budget
Interested applicants must put together a cost-efficient budget which reflects realistic costs, including consultancy fees, possible travel costs and other costs related to the elaboration of the report. The estimated budget for MTR in Tanzania is 40,000 NOK.
Profile of the MTR consultant / review team
Requirements:
The reviewer(s) should have extensive and proven experience in carrying out evaluations of international development projects, programs and organizations including with a strong focus on participatory methods. If the evaluation is performed by a team, the team should have one team leader who holds the overall responsibility and is main point of contact.
The reviewer(s) should have background in relevant fields, such as social science, international relations, human rights, psychosocial support, etc, and hold university degrees.
Excellent analysis (both qualitative and quantitative) and report writing skills.
Genuine understanding of civil society engagement, organizational development and advocacy.
Good knowledge and experience on the UNSDGs, particularly on these thematic areas: gender equality, climate action, reduced inequalities, justice and peace and inclusion.
Good knowledge of and experience from the region.
The MTR report will be a source of learning for the partners. The reviewer(s) should have experience with this type of communication.
Applicants must demonstrate a commitment to YGlobal’s principles and ethical guidelines.
The roles and responsibilities of YGlobal and partner organizations in facilitating the evaluation
YGlobal will make resources and documents available for the evaluation team:
Project descriptions (program application 2020-2023 including results framework and budgets, contract agreement between YGlobal and Norad as well as any other documents shared with Norad)
Mid Term Review Report 2018
Annual reports from YGlobal to Norad
Strategy of KFUK-KFUM Global 2020-2024
Strategy documents of partner organizations
Partner agreement contracts 2020 and 2021
Contact information for relevant persons in YGlobal and the other partner organizations
The focused partner organizations will be available for interviews and will provide contact information for relevant stakeholders: program youth participants, staff and volunteers. Other written material relevant to the program may also be provided by the partners. The MTR budget is part of Norad’s funding allocated for program follow up and M&E.
Deliverables/Reporting and dissemination requirements
Inception Report containing summary of understanding of the project with reference to initial information and research collected, a detailed work plan, final methodology with proposed review tools/instruments, limitations if any, responsible persons and timeframes.
Draft MTR Report with initial findings and recommendations.
Final MTR Report should not be longer than 15 pages (excluding the appendices, TOC and executive summary) and should incorporate the following:
Table of contents.
An executive summary that can be used as a document in its own right. It should include the major findings and summarizes conclusions and recommendations.
The objectives of the review.
The main research questions and derived sub-questions.
A justification of the methods and techniques used and any bias or limitations of the review.
A presentation of the findings and the analysis thereof, clearly indicating the evidence base and giving concrete examples of qualitative findings.
Discussion of the findings and conclusions, which will analyse the various research questions.
Recommendations should be clearly related to conclusions but presented separately.
Recommendations should be practical and, if relevant, divided up for various actors and stakeholders.
Report appendices should include: ToR, technique used (list of questions, methodology, sampling approach, etc.), list of abbreviations, list of documents and bibliography, composition of evaluation team (if there is a team).
Proposed timeline
Date
Milestone
26 Aug
YGlobal shared MTR TORs with Norad for approval.
27 Oct
Norad approves the TORs.
01 Nov
Release of tender.
28 Nov
Evaluator’s deadline to hand in bid.
03 Dec
YGlobal communicates the decision on who to perform the evaluation and writes a contract with the evaluators.
10 Dec
Orientation meeting and discussion on evaluation plan with the evaluators
Jan-mid Feb 2022
Evaluators gather data in Tanzania and write report.
18 Feb 2022
Evaluators deliver draft report to YGlobal.
24 Feb
A validation workshop (digital/physical) with relevant stakeholders may be considered as part of the feedback process.
18 Mar
YGlobal and partners give feedback to the draft report.
25 Mar
Evaluator delivers final report to YGlobal.
31 Mar
YGlobal shares the report with all partners and with Norad.
Bids submission information
Interested applicants must send a proposal for undertaking the evaluation to YGlobal, Grants Coordinator, Sadaf Wali Shah at sadaf@yglobal.no by 28th November2021. Any questions can also be directed at this email address.
The application should contain:
Profile of the lead consultant(s) with traceable references and copies of/links to CVs and previous writing and published materials.
A layout and a breakdown of how the consultant(s) understand and plan carry out the assignment.
Professional fee quotation indicating envisaged actions, the requested fee for the work in the job description.